UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Habari & Matukio

Habari za CCM, Habari za Vijana, Habari za Maendeleo n.k

ZIARA YA KATIBU MKUU CCM DKT.ASHA -ROSE MIGIRO, KUKUTANA NA MABALOZI WA SHINA WA CCM
07 Jan, 2026
00:00

ZIARA YA KATIBU MKUU CCM DKT.ASHA -ROSE MIGIRO, KUKUTANA NA MABALOZI WA SHINA WA CCM

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Asha Rose Migiro, ameanza ziara yake ya kikazi katika Mkoa wa Dar es Salaam kwa kukutana na kuzungumza na mabalozi wa mashina ya CCM, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa uongozi wa Chama Cha Mapinduzi wa kuimarisha utendaji kuanzia ngazi ya chini.

Soma Zaidi
Rais Samia Afanya Mazungumzo na Viongozi wa Wizara ya Ulinzi
06 Jan, 2026
00:00

Rais Samia Afanya Mazungumzo na Viongozi wa Wizara ya Ulinzi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya mazungumzo na Viongozi wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa katika Ikulu ndogo ya Tunguu, Zanzibar, tarehe 06 Januari, 2026. Mazungumzo hayo yalilenga kujadili masuala mbalimbali ya ulinzi, usalama wa taifa pamoja na mchango wa Jeshi la Kujenga Taifa katika maendeleo ya nchi.

Soma Zaidi
MATEMBEZI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 62 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR YAANZA RASMI MKOA WA MJINI MAGHARIBI
06 Jan, 2026
00:00

MATEMBEZI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 62 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR YAANZA RASMI MKOA WA MJINI MAGHARIBI

Matembezi ya kuadhimisha Miaka 62 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yameanza rasmi leo katika Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja, yakihusisha makundi mbalimbali ya vijana, wanachama wa Chama Cha Mapinduzi pamoja na wananchi, waliokusanyika kuonesha mshikamano, uzalendo na heshima kwa historia ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Soma Zaidi
VIJANA VYUONI GOMBEENI UONGOZI UVCCM
05 Jan, 2026
00:00

VIJANA VYUONI GOMBEENI UONGOZI UVCCM

Dodoma, 03 Januari 2026 – Katibu Msaidizi wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa, Vyuo na Vyuo Vikuu wa UVCCM, Ndugu Mabula Marco Mabula, amewahimiza vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaosoma katika vyuo na vyuo vikuu nchini kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya Seneti za Vyuo na Vyuo Vikuu kupitia jumuiya ya UVCCM.

Soma Zaidi
Rais Samia Awapongeza Taifa Stars Kwa Kufuzu Hatua ya 16 Bora AFCON
30 Dec, 2025
00:00

Rais Samia Awapongeza Taifa Stars Kwa Kufuzu Hatua ya 16 Bora AFCON

Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, imeandika historia kwa kufuzu hatua ya 16 bora ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) kwa mara ya kwanza. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameipongeza timu hii, akitambua juhudi na kujituma kwa wachezaji na benchi la ufundi.

Soma Zaidi
TRILIONI 2.4 ZA RAIS DKT. SAMIA ZAAMSHA MUITIKIO MKUBWA KWA VIJANA WASOMI DAR ES SALAAM
23 Dec, 2025
00:00

TRILIONI 2.4 ZA RAIS DKT. SAMIA ZAAMSHA MUITIKIO MKUBWA KWA VIJANA WASOMI DAR ES SALAAM

Dar es Salaam, 23 Desemba 2025 Maelfu ya vijana wasomi wa Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa wa Dar es Salaam wamejitokeza kwa wingi katika Hafla ya Ukaribisho wa Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza, iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa JNICC, chini ya Mgeni Rasmi Mwenyekiti wa UVCCM Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa, Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC).

Soma Zaidi