UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Habari & Matukio

Habari za CCM, Habari za Vijana, Habari za Maendeleo n.k

MWINYI AKUTANA NA FIRST TIME VOTERS NANGWA
22 Sep, 2025
00:00

MWINYI AKUTANA NA FIRST TIME VOTERS NANGWA

Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM na Mjumbe wa Halmashauri ya CCM Taifa Ndugu Halid Mwinyi amekutana na kuzungumza na Vijana ambao wanatarajia kupiga kura kwa mara ya kwanza (First Time Voters) wa Chuo cha Ufundi cha Nangwa leo tarehe 22 Septemba, 2025 Wilayani Hanang, Mkoa wa Manyara.

Soma Zaidi
MBINGA, SERIKALI YA CCM YAAHIDI KUWATUMIKIA WANANCHI
21 Sep, 2025
00:00

MBINGA, SERIKALI YA CCM YAAHIDI KUWATUMIKIA WANANCHI

Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) itaendelea kuwatumikia wananchi wa Mbinga kwa kuhakikisha inasogeza karibu huduma muhimu za kijamii na kiuchumi, ikiwemo kuboresha miundombinu ya barabara vijijini na mijini, kuimarisha sekta ya afya kwa kujenga na kuboresha vituo vya kutolea huduma, pamoja na kuongeza fursa za elimu kwa watoto wa familia zote. Alisema Dkt Samia Suluhu Hassan

Soma Zaidi
ZIARA YA KAMPENI, RUVUMA
21 Sep, 2025
00:00

ZIARA YA KAMPENI, RUVUMA

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania kupitia tiketi ya CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo ataendelea na kampeni zake kuinadi ilani ya CCM Mkoani Ruvuma.

Soma Zaidi
SERIKALI KUENDELEA KUWASHUSHIA NEEMA WAKULIMA WA MBINGA
21 Sep, 2025
00:00

SERIKALI KUENDELEA KUWASHUSHIA NEEMA WAKULIMA WA MBINGA

Mgomba wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM DKT SAMIA SULUHU HASSAN ameianza ziara yake ya kampeni mkoani Ruvuma ambapo amebisha hodi akiwa wilayani Mbinga

Soma Zaidi
MBINGA TUMEKUBALIANA CHAGUO LETU DKT. SAMIA
21 Sep, 2025
00:00

MBINGA TUMEKUBALIANA CHAGUO LETU DKT. SAMIA

Wananchi wa Mbinga wanafuraha na utayari leo tarehe 21 Septemba 2025 wakipata ugeni wa Mgombea wa Urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan akifanya mkutano mdogo kwa kuisemea Ilani ya CCM 2025-2030 na kuomba kura licha ya Wananchi hao kueleza kuwa Chaguo lao ni Dkt. Samia na wagombea wa CCM.

Soma Zaidi
CHEI CHEI CHAKE CHAKE
19 Sep, 2025
00:00

CHEI CHEI CHAKE CHAKE

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan atawasha moto wa Ilani Mkoani Kusini Pemba ambapo atafanya Mkutano Mkubwa wa Hadhara Chake Chake, Gombani Kale leo Ijumaa 19 Septemba, 2025. Vijana wapo tayari kwa nguvu zote kusikiliza Ilani Bora ya CCM 2025-2030 inayogusa maisha ya Kijana na Maisha ya Kila Mtanzania na Sera makini za Maendeleo endelevu ya Taifa letu.

Soma Zaidi