Chagueni Viongozi wanaojali amani na maendeleo endelevu ya taifa letu
Uongozi wa Seneti wa Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa wa Magharibi, ukiongozwa na Mwenyekiti wake Ndg. Ikram Soraga, umeshiriki mafunzo ya elimu kwa mpiga kura katika Taasisi ya Sayansi na Teknolojia Karume (KIST), yakilenga kuwaandaa wanavyuo kushiriki uchaguzi mkuu kwa amani ifikapo tarehe 29 Oktoba 2025.
Soma Zaidi
FARIS BURUHANI AHAIMIZA VIJANA WA KAGERA KUSHIRIKI UCHAGUZI NA KUMCHAGUA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera, Faris Buruhani, ameeleza kuwa serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeleta mafanikio makubwa kwa vijana, ikiwemo kuinua sekta ya kilimo, maendeleo ya elimu, fursa za ajira na uongozi, pamoja na huduma bora za afya.
Soma Zaidi
AHSANTE KAGERA KWA MAPOKEZI MAZURI YA ILANI YA CCM
Serikali ya Chama Cha Mapinduzi Chini ya Mwenyekiti wake Dkt Samia Suluhu Hassan ameendelea kuinadi ilani ya Chama Cha Mapinduzi ndani ya mkoa wa Kagera leo na kuahidi ahadi zifuatazo zilizopo kwenye ilani ya Chama Cha Mapinduzi ndani ya mkoa wa Kagera
Soma Zaidi
DKT SAMIA AWAPONGEZA VIJANA WA HAMASA
Mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt Samia Suluhu Hassan wakati akihitimisha Ziara yake Mkoani Kagera amefanya mkutano wa hadhara katika jimbo la Bukoba Mjini na kuwashukuru viongozi wa chama, wananchi vijana wa hamasa na makundi yote kwa ujumla kwa mapokezi na ushiriki wao mzuri wa mikutano yake ndani ya mkoa huo.
Soma Zaidi
DKT.MWINYI ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA BIASHARA ENEO LA DARAJANI
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema lengo la Serikali ni kuendelea kuliimarisha eneo la Darajani na kujenga miundombinu zaidi ili wafanyabiashara wapate maeneo mazuri na ya kisasa ya kufanyia biashara.
Soma Zaidi
SERIKALI KUTOA NYENZO NA MITAJI KUWEZESHA UVUVI WA KISASA
Dkt Samia Suluhu Hassan ambaye ni Mgombea wa kiti cha urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi akiwa Wilaya Ya Bukoba Mkoani Kagera amesema kuwa wataimarisha Sekta ya Uvuvi kwa kwa kutoa Nyenzo mbalimbali zitakazosaidia kwenye uvuvi na kutoa mitaji kwa wavuvi.
Soma Zaidi