Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

DKT.SAMIA CHAGUO LETU

tunaimani na Rais Dkt.Samia

CHAGUO LA WATANZANIA

KIJANI ILANI CHATBOT

Uzinduzi wa Kijani IlaniChatbot

Bofya hapa Ilani Chatbot

Uongozi na Uwajibikaji

Kazi na Utu, Tunasonga Mbele

uongozi na Uwajibikaji

Kijana na Kijani

Tunazima zote tunawasha Kijani

Tunasonga mbele pamoja

Chaguo letu

Tukimuona Dkt Samia, Tumeiona leo na kesho iliyo salama

Kazi na Utu, Tunasonga Mbele

Wataweza Kweli.....?

Historia imeandikwa Rais Dkt Samia achukua fomu

Kazi na Utu, Tunasonga Mbele

CCM hii tumeipenda wenyewe....

Kazi na Utu, Tunasonga Mbele

Kijana na Kijani

Uzalendo na Uongozi

Tunasonga mbele pamoja

Oktoba tunatiki

Habari na Matukio

Pata taarifa za mambo yanayotokea UVCCM

Ona Habari Zote
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025 4

KURA YANGU SAUTI YANGU

Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025

Soma Zaidi
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025 8

KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"

Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.

Soma Zaidi
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025 8

MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.

Soma Zaidi

WAGOMBEA WETU UCHAGUZI 2025

"KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE"

Dkt. Hussein Ali MWINYI

Dkt. Hussein Ali MWINYI

Mgombea Urais Zanzibar

Dkt. Samia Suluhu Hassan

Dkt. Samia Suluhu Hassan

Mgombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Balozi Dkt. Emanuel NChimbi

Balozi Dkt. Emanuel NChimbi

Mgombea Mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzan

Viongozi Wakuu wa UVCCM

Viongozi wetu wanaongoza kwa uadilifu na ujuzi kwa lengo la kuleta mabadiliko chanya kwa vijana wa Tanzania.

Mussa Mwakitinya (MNEC)

Mussa Mwakitinya (MNEC)

N/Katibu Mkuu UVCCM (Bara)

Rehema Sombi(MNEC)

Rehema Sombi(MNEC)

M/Mwenyekiti UVCCM Taifa

Mohammed Ali Kawaida(MCC)

Mohammed Ali Kawaida(MCC)

Mwenyekiti UVCCM Taifa

Halidi Mwinyi (MNEC)

Halidi Mwinyi (MNEC)

Katibu Mkuu UVCCM

Abdi Mahamoud

Abdi Mahamoud

N/Katibu UVCCM Zanzibar

×

Shuhuda za Vijana

Sikiliza kwa vijana wenzako waliofanikiwa kupitia mipango na mafunzo ya UVCCM

Mafunzo ya ujasiriamali niliyoyapata UVCCM yamenifungulia dunia na sasa naajiri vijana wenzangu 12 katika kampuni yangu ya utengenezaji wa viatu. Asanteni kwa msaada na mwelekeo mzuri.

Asha Mwinyi
Asha Mwinyi

Mjasiriamali, Zanzibar

Kupitia mafunzo ya UVCCM nimeweza kuanzisha biashara ya kilimo cha kisasa na sasa nina mazao bora ya mbogamboga ninayouza kwa wanakijiji wangu na hata kwenye soko la mjini.

Juma Hassan
Juma Hassan

Mkulima, Arusha