UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Habari & Matukio

Habari za CCM, Habari za Vijana, Habari za Maendeleo n.k

UVCCM E-TALK NA USHIRIKI WA VIJANA KATIKA UJENZI WA TAIFA
24 Jan, 2026
00:00

UVCCM E-TALK NA USHIRIKI WA VIJANA KATIKA UJENZI WA TAIFA

Dodoma | Januari 24, 2026 Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), kupitia jukwaa la mtandao UVCCM e-Talk, tarehe 24 Januari 2026, kuanzia saa 12:00 jioni hadi saa 2:00 usiku, uliendesha mjadala mpana wa kitaifa uliowakutanisha vijana kutoka maeneo mbalimbali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa lengo la kujadili nafasi na mchango wa vijana katika siasa na ujenzi wa taifa.

Soma Zaidi
VIJANA: TUPO TAYARI KUZIPOKEA FURSA ALIZOTUANDAA DKT. SAMIA” – VIJANA DODOMA
24 Jan, 2026
00:00

VIJANA: TUPO TAYARI KUZIPOKEA FURSA ALIZOTUANDAA DKT. SAMIA” – VIJANA DODOMA

Dodoma. Maelfu ya wanafunzi kutoka vyuo vya kati na vyuo vikuu wamejitokeza kwa wingi leo tarehe 24 Januari, 2026 katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma, kushiriki Kongamano la UNI-Summit Life In & After Campus, linalolenga kuwajengea vijana uelewa wa kina kuhusu fursa mbalimbali zilizopo Serikalini na katika sekta binafsi.

Soma Zaidi
Kihongosi Apeleka Tabasamu Mashina ya CCM Singida
20 Jan, 2026
00:00

Kihongosi Apeleka Tabasamu Mashina ya CCM Singida

Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Kenani Laban Kihongosi, ameendelea na ziara yake ya kikazi mkoani Singida, ikiwa ni siku ya pili ya ziara hiyo, ambapo leo amepokelewa rasmi Wilaya ya Singida.

Soma Zaidi
Shina la Makunduchi Ladhihirisha kwa Vitendo Kuwa Maendeleo Hayana Itikadi – Dkt. Migiro
20 Jan, 2026
00:00

Shina la Makunduchi Ladhihirisha kwa Vitendo Kuwa Maendeleo Hayana Itikadi – Dkt. Migiro

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Asha Rose Migiro, amezindua Shina la Wakereketwa wa CCM Makunduchi lililopo Mtaa wa Uhuru, Wilaya ya Dodoma Mjini, na kulipongeza shina hilo kwa kuwa mfano wa kuigwa katika kuendeleza shughuli za kiuchumi zinazolenga kuinua kipato cha wanajamii bila kujali misimamo ya kisiasa. Akizungumza na wajumbe wa shina hilo Januari 20, 2026, kabla ya kukutana na Mabalozi wa Mashina wa Mkoa wa Dodoma,

Soma Zaidi
KATIBU WA NEC KENANI KIHONGOSI ATANGAZA ZIARA YA KITAIFA YA KUSIMAMIA MIRADI, KUSIKILIZA KERO NA KUIMARISHA UMOJA WA TAIFA
17 Jan, 2026
00:00

KATIBU WA NEC KENANI KIHONGOSI ATANGAZA ZIARA YA KITAIFA YA KUSIMAMIA MIRADI, KUSIKILIZA KERO NA KUIMARISHA UMOJA WA TAIFA

Dodoma, Januari 17, 2026 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kudhihirisha kwa vitendo falsafa yake ya kuwa chama cha wananchi, baada ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Kenani Labani Kihongosi, kutangaza kuanza kwa ziara ya kitaifa ya kichama itakayohusisha mikoa yote ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Soma Zaidi
INJINI YA CCM IPO MASHINANI; DKT. MIGIRO ASISITIZA UONGOZI WA KARIBU NA WANANCHI
13 Jan, 2026
00:00

INJINI YA CCM IPO MASHINANI; DKT. MIGIRO ASISITIZA UONGOZI WA KARIBU NA WANANCHI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amesema kuwa mashina ndiyo injini halisi ya uhai, uhalali na maendeleo ya Chama Cha Mapinduzi, akisisitiza kuwa maendeleo ya kweli ya wananchi huanzia katika ngazi za chini za chama.

Soma Zaidi