HONGERA MH. MUSSA ZUNGU SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) chini ya Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Ndg. Mohammed Ali Kawaida
Soma Zaidi
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.
Soma Zaidi
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Soma Zaidi
TABASAMU LA MAENDELEO, SAFARI YA KUTIKI OKTOBA 29
Ni yeye akiwa amevalia miwani yake ya njano na tabasamu la matumaini, kijana huyu anaonesha ari na uzalendo kuelekea uchaguzi wa Oktoba 29. Bila kusahau Kichinjio chake, ameshikilia mfano wa karatasi ya kura, ishara ya dhamira yake ya kuchagua maendeleo na umoja.
Soma Zaidi
TAREHE 29 OKTOBA UELEKEO NI KITUONI
Kwa kutambua kuwa uchaguzi ni haki ya msingi kikatiba ya kila mwananchi kupiga kura
Soma Zaidi