Tanzania na Marekani Zimefikisha Hatua za Mwisho za Kufanikisha Makubaliano Makubwa ya Uwekezaji
Dodoma, Tanzania – Tanzania na Marekani ziko katika hatua za mwisho za kufanikisha makubaliano makubwa ya uwekezaji yanayolenga kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia, kiuchumi na kiusalama kati ya mataifa haya mawili. Hii ni hatua inayothibitisha dhamira ya pande zote mbili katika kujenga ushirikiano wa kisasa, unaolenga ustawi wa pamoja.
Soma Zaidi
TAARIFA KUTOKA KWA MHESHIMIWA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
Katika kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Uhuru Kesho, Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kupitia Waziri Mkuu leo, ametoa agizo maalum kwa wananchi wote wa Tanzania.
Soma Zaidi
KAWAIDA: VIJANA, TUNAJUKUMU LA KULINDA AMANI, UMOJA NA MSHIKAMANO WA TAIFA LETU
Mwenyekiti wa UVCCM Ndugu Mohammed Ali Kawaida(MCC) amesisitiza wito wa mshikamano na amani miongoni mwa Watanzania, huku akibainisha mafanikio makubwa ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Soma Zaidi
Jessica Mshama atoa pongezi kwa Viongozi wa Vijana Walioshiriki Katika Kikao Kazi cha UVCCM Mkoa wa Dodoma
DODOMA, TANZANIA — Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) imetoa shukrani na pongezi za kipekee kwa viongozi wote wa vijana waliohudhuria kikao kazi cha Umoja wa Vijana kilichofanyika jijini Dodoma tarehe 7 Desemba 2025 ambapo washiriki walijadiliana juu ya mustakabali wa vijana, amani ya nchi na maendeleo ya taifa.
Soma Zaidi
MWENEZI KENANI APOKELEWA KWA KISHINDO DAR ES SALAAM
Dar es Salaam, 06 Disemba 2025 — Ukumbi wa Diamond Jubilee ulibubujikwa na shamrashamra leo baada ya maelfu ya wanachama na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi katika kikao kazi cha kwanza cha Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Kenani Laban Kihongosi (MCC) na viongozi wa chama wa mkoa huo.
Soma Zaidi
KAMBIRO: AMANI NDIO MSINGI MAENDELEO YA TAIFA LETU
Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo wa CCM Wilaya ya Kigoma Mjini, Ndugu Comrade Haruna Kambiro, leo ametoa wito kwa Watanzania kuendelea kulinda na kuthamini amani kama nguzo kuu ya ustawi na maendeleo ya Taifa.
Soma Zaidi