UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Habari & Matukio

Habari za CCM, Habari za Vijana, Habari za Maendeleo n.k

TAREHE 29 OKTOBA UELEKEO NI KITUONI
23 Oct, 2025
00:00

TAREHE 29 OKTOBA UELEKEO NI KITUONI

Kwa kutambua kuwa uchaguzi ni haki ya msingi kikatiba ya kila mwananchi kupiga kura

Soma Zaidi
SERIKALI IMEIMARISHA MHIMILI WA TATU WA DOLA
23 Oct, 2025
00:00

SERIKALI IMEIMARISHA MHIMILI WA TATU WA DOLA

Temeke- DSM, mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan akihitimisha ziara yake ya kampeni Mkoani Dar es Salaam alasir hii amezungumza na wananchi wa wilaya ya Temeke ambapo amewaeleza kuwa katika jitihada za kuhakikisha kila mwananchi anapata haki yake, Serikali imeendelea kuuimarisha mhimili wa tatu wa dola (Mahakama)

Soma Zaidi
SERIKALI KUWAPATIA FURSA WATU WENYE MAHITAJI MAALUMU
23 Oct, 2025
00:00

SERIKALI KUWAPATIA FURSA WATU WENYE MAHITAJI MAALUMU

Temeke Dar es salaam Mgombea wa kiti cha Urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Dkt Samia Suluhu Hassan leo akiwa Temeke ameeleza kuwa Serikali ya Chama Cha Mapinduzi imewapa Fursa mabalimbali watu wenye mahitaji Maalum na kuwapa vipaumbele pia kwenye Ajira.

Soma Zaidi
WAJANJA WOTE WANATIKI OKTOBA 29
22 Oct, 2025
00:00

WAJANJA WOTE WANATIKI OKTOBA 29

Ewe Mwananchi Mwenzangu, kichinjio chako ndio tiketi iliyobeba dhamana ya maamuzi yako

Soma Zaidi
SERIKALI YA CCM KUJENGA SOKO KUBWA LA KISASA JANGWANI DSM
22 Oct, 2025
00:00

SERIKALI YA CCM KUJENGA SOKO KUBWA LA KISASA JANGWANI DSM

Ilala Dar es salaam, Mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt Samia Suluhu Hassan akiendelea na ziara yake ya kampeni Mkoani Dar es salaam Mchana wa leo.

Soma Zaidi
SERIKALI KUTOA FURSA KWA SEKTA BINAFSI HUDUMA ZA MWENDO KASI DSM
22 Oct, 2025
00:00

SERIKALI KUTOA FURSA KWA SEKTA BINAFSI HUDUMA ZA MWENDO KASI DSM

Ilala Dar es Salaam,amesema hayo Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan, akibainisha kuwa Serikali itaendelea kutoa fursa kwa sekta binafsi kushiriki katika uendeshaji wa huduma za mwendo kasi jijini Dar es Salaam.

Soma Zaidi