SERIKALI IMEIMARISHA MHIMILI WA TATU WA DOLA
Temeke- DSM, mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan akihitimisha ziara yake ya kampeni Mkoani Dar es Salaam alasir hii amezungumza na wananchi wa wilaya ya Temeke ambapo amewaeleza kuwa katika jitihada za kuhakikisha kila mwananchi anapata haki yake, Serikali imeendelea kuuimarisha mhimili wa tatu wa dola (Mahakama)
Soma Zaidi
SERIKALI KUWAPATIA FURSA WATU WENYE MAHITAJI MAALUMU
Temeke Dar es salaam Mgombea wa kiti cha Urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Dkt Samia Suluhu Hassan leo akiwa Temeke ameeleza kuwa Serikali ya Chama Cha Mapinduzi imewapa Fursa mabalimbali watu wenye mahitaji Maalum na kuwapa vipaumbele pia kwenye Ajira.
Soma Zaidi
WAJANJA WOTE WANATIKI OKTOBA 29
Ewe Mwananchi Mwenzangu, kichinjio chako ndio tiketi iliyobeba dhamana ya maamuzi yako
Soma Zaidi
SERIKALI YA CCM KUJENGA SOKO KUBWA LA KISASA JANGWANI DSM
Ilala Dar es salaam, Mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt Samia Suluhu Hassan akiendelea na ziara yake ya kampeni Mkoani Dar es salaam Mchana wa leo.
Soma Zaidi
SERIKALI KUTOA FURSA KWA SEKTA BINAFSI HUDUMA ZA MWENDO KASI DSM
Ilala Dar es Salaam,amesema hayo Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan, akibainisha kuwa Serikali itaendelea kutoa fursa kwa sekta binafsi kushiriki katika uendeshaji wa huduma za mwendo kasi jijini Dar es Salaam.
Soma Zaidi
DKT SAMIA TUNA KAMPUNI ZAIDI YA NNE (4) ZA USAFIRI MWENDOKASI DAR
Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kwa tiketi ya CCM *Dkt. Samia Suluhu Hassan,* ameonyesha dhamira thabiti ya kuboresha huduma za usafiri jijini Dar es Salaam kupitia mfumo wa Usafiri wa Mabasi ya Mwendokasi (UDART). Hivi karibuni, Serikali inaendelea kufanya mazungumzo na kampuni nne kuendesha huduma za mabasi katika njia zinazofikia vituo vya mwisho vya mwendokasi
Soma Zaidi