ABUYA AWEKA MSISITIZO KWA VIJANA WA CCM KUKITETEA CHAMA NA VIONGOZI WAKE
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Kigoma, Ndugu Emanuel Abuya, amewataka vijana wa CCM kuendelea kuwa mstari wa mbele katika kutetea, kulinda na kudumisha misingi, sera na uongozi wa Chama Cha Mapinduzi, akisisitiza kuwa hilo ni jukumu la msingi na la kihistoria kwa jumuiya ya vijana.
Soma Zaidi
KATIBU MKUU WA UVCCM ASHIRIKI DUA MAALUM YA KUMUOMBEA RAIS DKT. SAMIA
Katibu Mkuu wa UVCCM na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Ndugu Halid Mwinyi, ameshiriki katika dua maalum ya kumuombea kheri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakati wa kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa iliyoandaliwa na Afisi Kuu ya UVCCM Zanzibar.
Soma Zaidi
DKT. SAMIA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM TAIFA, ZANZIBAR
Zanzibar | Januari 25, 2026 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika Zanzibar tarehe 25 Januari 2026.
Soma Zaidi
DIWANI LUTFIA AONGOZA WANANCHI KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA
Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa kutoka Mkoa wa Mjini Unguja, ambaye pia ni Diwani wa Wadi ya Kwahani, Ndugu Lutfia Juma Idd, ameongoza wakazi wa wadi hiyo kushiriki zoezi la usafi wa mazingira lililofanyika katika maeneo mbalimbali ya wadi hiyo.
Soma Zaidi
SERIKALI YATAJA MALENGO YA SERA YA MAENDELEO YA VIJANA (2007 – 2024)
Dodoma. Serikali kupitia Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana imeendelea kuweka msisitizo katika uwekezaji wa kimkakati kwa vijana, kwa kueleza maeneo muhimu ya Sera ya Maendeleo ya Vijana ya Mwaka 2007, Toleo la Mwaka 2024, yenye lengo la kumwezesha kijana kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya taifa.
Soma Zaidi
PPRA YAWAJENGEA UWEZO VIJANA KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA
Dodoma. Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imeendelea kuchukua hatua za makusudi kuwajengea uwezo vijana ili washiriki kikamilifu katika mifumo ya ununuzi wa umma, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kukuza ushiriki wa vijana katika uchumi wa taifa.
Soma Zaidi