MOROGORO KUMENOGA KUELEKEA MAADHIMISHO YA MIAKA 49 YA KUZALIWA CHAMA CHA MAPINDUZI
Wakazi wa Mkoa wa Morogoro wameendelea kuonesha mapenzi ya dhati na mshikamano mkubwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea maadhimisho ya miaka 49 tangu kuasisiwa kwake, yanayotarajiwa kufanyika rasmi kesho tarehe 05 Februari, 2026.
Soma Zaidi
KATIBU MKUU WA UVCCM KUONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 49 YA CCM KIMKOA, WILAYA YA PANGANI
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndugu Halidi Mwinyi, leo anatarajiwa kuongoza sherehe za maadhimisho ya kumbukizi ya miaka 49 tangu kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika ngazi ya mkoa, zitakazofanyika Wilaya ya Pangani.
Soma Zaidi
UVCCM Tabora Mjini yaongoza Usafi na Uchangiaji wa Damu Zahanati ya Ng'ambo Kuelekea Miaka 49 ya CCM
Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Tabora Mjini, Ndugu Shabani Hussein Nassro, ameongoza vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Tabora Mjini katika zoezi la usafi
Soma Zaidi
Mhe. Muhsin Ussi Ashiriki Ugawaji wa Vifaa vya Usafi Zahanati ya Kitunda Kuelekea Miaka 49 ya CCM
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi Taifa (kundi la Vijana) na Mbunge wa Jimbo la Malindi, Mheshimiwa Muhsin Ussi, ameshiriki katika zoezi la kugawa vifaa vya usafi katika Zahanati ya Kitunda, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 49 ya kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi (CCM).
Soma Zaidi
UVCCM WILAYA YA KAKONKO WAFANYA MAADHIMISHO YA MIAKA 49 YA KUZALIWA KWA CCM
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Kakonko umefanya maadhimisho ya kipekee kuelekea miaka 49 ya kuzaliwa kwa CCM, yatakayofanyika rasmi tarehe 5 Februari 2026. Maadhimisho haya yamejumuisha shughuli mbalimbali za kijamii zenye lengo la kuunga mkono maendeleo ya wananchi na taifa kwa ujumla.
Soma Zaidi
UVCCM MBEYA MJINI YAADHIMISHA MIAKA 49 YA CCM KWA SHUGHULI ZA KIMAENDELE MBEYA MJINI
Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Mbeya Mjini ameshiriki leo katika shughuli za kimaendeleo katika Kata ya Nzovwe, pamoja na Diwani wa kata hiyo. Shughuli zilizofanyika ni pamoja na kukarabati barabara na kujaza vifusi katika maeneo korofi, hatua zilizolenga kuboresha miundombinu ya wananchi na kuendeleza huduma za kijamii.
Soma Zaidi