Jessica Mshama atoa pongezi kwa Viongozi wa Vijana Walioshiriki Katika Kikao Kazi cha UVCCM Mkoa wa Dodoma
DODOMA, TANZANIA — Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) imetoa shukrani na pongezi za kipekee kwa viongozi wote wa vijana waliohudhuria kikao kazi cha Umoja wa Vijana kilichofanyika jijini Dodoma tarehe 7 Desemba 2025 ambapo washiriki walijadiliana juu ya mustakabali wa vijana, amani ya nchi na maendeleo ya taifa.
Soma Zaidi
KAWAIDA: VIJANA, TUNAJUKUMU LA KULINDA AMANI, UMOJA NA MSHIKAMANO WA TAIFA LETU
Mwenyekiti wa UVCCM Ndugu Mohammed Ali Kawaida(MCC) amesisitiza wito wa mshikamano na amani miongoni mwa Watanzania, huku akibainisha mafanikio makubwa ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Soma Zaidi
MWENEZI KENANI APOKELEWA KWA KISHINDO DAR ES SALAAM
Dar es Salaam, 06 Disemba 2025 — Ukumbi wa Diamond Jubilee ulibubujikwa na shamrashamra leo baada ya maelfu ya wanachama na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi katika kikao kazi cha kwanza cha Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Kenani Laban Kihongosi (MCC) na viongozi wa chama wa mkoa huo.
Soma Zaidi
KAMBIRO: AMANI NDIO MSINGI MAENDELEO YA TAIFA LETU
Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo wa CCM Wilaya ya Kigoma Mjini, Ndugu Comrade Haruna Kambiro, leo ametoa wito kwa Watanzania kuendelea kulinda na kuthamini amani kama nguzo kuu ya ustawi na maendeleo ya Taifa.
Soma Zaidi
REUBENS E. SAGAYIKA AAPA RASMI KUWA DIWANI KATA YA KALANGALALA, UVCCM WAMTAKIA HERI
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) unatoa pongezi za dhati kwa Reubens E. Sagayika, Mjumbe wa Baraza Kuu UVCCM Taifa, kwa kula kiapo cha kuwa Diwani wa Kata ya Kalangalala, Halmashauri ya Wilaya ya Geita.
Soma Zaidi
RAIS SAMIA AMEWEKA NGUVU KUBWA KATIKA KUIMARISHA ELIMU YA VETA NCHINI TANZANIA
Kagera — Ijumaa ya tarehe 28 Novemba 2025, Chuo cha Ufundi Stadi na Huduma Kagera (VETA Kagera) kiliandika historia mpya kwa kufanya Mahafali yake ya pili, tukio lililofanyika katika viwanja vya chuo hicho vilivyopo Kata ya Nyakato, Bukoba Vijijini. Mahafali hayo yameendelea kuthibitisha kasi ya ukuaji wa elimu ya ufundi stadi nchini chini ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Soma Zaidi