UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Habari & Matukio

Habari za CCM, Habari za Vijana, Habari za Maendeleo n.k

Jessica Mshama atoa pongezi kwa Viongozi wa Vijana Walioshiriki Katika Kikao Kazi cha UVCCM Mkoa wa  Dodoma
07 Dec, 2025
00:00

Jessica Mshama atoa pongezi kwa Viongozi wa Vijana Walioshiriki Katika Kikao Kazi cha UVCCM Mkoa wa Dodoma

DODOMA, TANZANIA — Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) imetoa shukrani na pongezi za kipekee kwa viongozi wote wa vijana waliohudhuria kikao kazi cha Umoja wa Vijana kilichofanyika jijini Dodoma tarehe 7 Desemba 2025 ambapo washiriki walijadiliana juu ya mustakabali wa vijana, amani ya nchi na maendeleo ya taifa.

Soma Zaidi
KAWAIDA: VIJANA, TUNAJUKUMU LA KULINDA AMANI, UMOJA NA MSHIKAMANO WA TAIFA LETU
07 Dec, 2025
00:00

KAWAIDA: VIJANA, TUNAJUKUMU LA KULINDA AMANI, UMOJA NA MSHIKAMANO WA TAIFA LETU

Mwenyekiti wa UVCCM Ndugu Mohammed Ali Kawaida(MCC) amesisitiza wito wa mshikamano na amani miongoni mwa Watanzania, huku akibainisha mafanikio makubwa ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Soma Zaidi
MWENEZI KENANI APOKELEWA KWA KISHINDO DAR ES SALAAM
06 Dec, 2025
00:00

MWENEZI KENANI APOKELEWA KWA KISHINDO DAR ES SALAAM

Dar es Salaam, 06 Disemba 2025 — Ukumbi wa Diamond Jubilee ulibubujikwa na shamrashamra leo baada ya maelfu ya wanachama na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi katika kikao kazi cha kwanza cha Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Kenani Laban Kihongosi (MCC) na viongozi wa chama wa mkoa huo.

Soma Zaidi
KAMBIRO: AMANI NDIO MSINGI MAENDELEO YA TAIFA LETU
05 Dec, 2025
00:00

KAMBIRO: AMANI NDIO MSINGI MAENDELEO YA TAIFA LETU

Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo wa CCM Wilaya ya Kigoma Mjini, Ndugu Comrade Haruna Kambiro, leo ametoa wito kwa Watanzania kuendelea kulinda na kuthamini amani kama nguzo kuu ya ustawi na maendeleo ya Taifa.

Soma Zaidi
REUBENS E. SAGAYIKA AAPA RASMI KUWA DIWANI KATA YA KALANGALALA, UVCCM WAMTAKIA HERI
02 Dec, 2025
00:00

REUBENS E. SAGAYIKA AAPA RASMI KUWA DIWANI KATA YA KALANGALALA, UVCCM WAMTAKIA HERI

Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) unatoa pongezi za dhati kwa Reubens E. Sagayika, Mjumbe wa Baraza Kuu UVCCM Taifa, kwa kula kiapo cha kuwa Diwani wa Kata ya Kalangalala, Halmashauri ya Wilaya ya Geita.

Soma Zaidi
RAIS SAMIA AMEWEKA NGUVU KUBWA KATIKA KUIMARISHA ELIMU YA VETA NCHINI TANZANIA
30 Nov, 2025
00:00

RAIS SAMIA AMEWEKA NGUVU KUBWA KATIKA KUIMARISHA ELIMU YA VETA NCHINI TANZANIA

Kagera — Ijumaa ya tarehe 28 Novemba 2025, Chuo cha Ufundi Stadi na Huduma Kagera (VETA Kagera) kiliandika historia mpya kwa kufanya Mahafali yake ya pili, tukio lililofanyika katika viwanja vya chuo hicho vilivyopo Kata ya Nyakato, Bukoba Vijijini. Mahafali hayo yameendelea kuthibitisha kasi ya ukuaji wa elimu ya ufundi stadi nchini chini ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Soma Zaidi