DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUM CHA KAMATI KUU YA CCM
Unguja, 29 Novemba 2025 — Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika kisiwani Unguja, Zanzibar.
Soma Zaidi
KAWAIDA AHUDHURIA KIKAO MAALUM CHA KAMATI KUU YA CCM
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) na Mjumbe wa Kamati Kuu Ndugu Mohammed Kawaida, ameungana na viongozi wakuu wa Chama cha Mapinduzi katika kikao maalum cha Kamati Kuu ya CCM, kilichoongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Soma Zaidi
MWENYEKITI WA UVCCM NA MJUMBE WA KAMATI KUU, NDG. MOHAMMED ALI KAWAIDA, AONGOZA KIKAO CHA BARAZA KUU LA UVCCM
Dodoma, 26 Novemba 2025 — Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM (MCC), Ndugu Mohammed Ali Kawaida, ameongoza kikao cha Baraza Kuu la UVCCM kilichofanyika katika Ukumbi wa NEC, Makao Makuu ya CCM, Dodoma.
Soma Zaidi
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU AAGIZA MKANDARASI KUKAMATWA NA KUZUIWA KUSAFIRI
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameliagiza Jeshi la Polisi na Idara ya Uhamiaji kumkamata na kuzuia hati ya kusafiria ya mkandarasi anayejenga mradi wa Kituo cha Ukaguzi cha Pamoja (One Stop Inspection Station) kilichopo Muhalala, mkoani Singida. Dkt. Mwigulu amesema Serikali ilimwamini mkandarasi huyo na kumpa jukumu la kutekeleza mradi huo muhimu wa kimkakati, ambao umesimama kwa zaidi ya miaka nane tangu mwaka 2016. Mradi huo, unaotekelezwa na kampuni
Soma Zaidi
RAIS SAMIA AWATAKIA HERI WANAFUNZI WANAOHITIMU KIDATO CHA NNE
Rais Dkt. Samia amewatakia heri na baraka wanafunzi 595,816 wa Kidato cha Nne wanaoanza mtihani wa kuhitimu leo tarehe 17 Nov, 2025 katika shule 5,868 nchini. Amesisitiza kuwa, pamoja na juhudi za Serikali za kujenga miundombinu, shule 305 mpya zinafanya mtihani huu kwa mara ya kwanza mwaka huu 2025 hatua inayothibitisha dhamira ya Serikali ya kupanua fursa za elimu bora kwa watoto wote wa Tanzania.
Soma Zaidi
RAIS DKT. SAMIA: WATANZANIA TUENDELEE KULIOMBEA TAIFA LIDUMU KATIKA AMANI
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan anaendelea kuwasisitiza Watanzania waendelee kuliombea Taifa ili amani, upendo, ustahimilivu na mshikamano viendelee kudumu nchini.
Soma Zaidi