UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Habari & Matukio

Habari za CCM, Habari za Vijana, Habari za Maendeleo n.k

TANZANIA INASHIKA NAFASI YA PILI UZALISHAJI MAHINDI NA TUMBAKU AFRIKA
20 Oct, 2025
00:00

TANZANIA INASHIKA NAFASI YA PILI UZALISHAJI MAHINDI NA TUMBAKU AFRIKA

Mkuranga - Pwani, Dkt Samia Suluhu Hassan ambaye ni Mgombea wa kiti Cha urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Leo akiwa Mkoani Pwani akiendelea kuinadi ilani ya Chama Cha Mapinduzi ameeleza kuwa Tanzania tumefikia hatua nzuri ya uzalishaji wa mazao ya kilimo na Tumbaku inayosaidia katika kukuza Uchumi wa Nchi.

Soma Zaidi
SERIKALI YA CCM KUJENGA UZIO WA MAFURIKO RUFIJI
20 Oct, 2025
00:00

SERIKALI YA CCM KUJENGA UZIO WA MAFURIKO RUFIJI

Rufiji-Pwani,Katika mkutano uliojaa hamasa na matumaini mapya kwa wananchi wa Rufiji, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza mpango kabambe wa serikali wa kujenga uzio maalum wa kuzuia mafuriko katika bonde la Rufiji.

Soma Zaidi
SERIKALI YA CCM KUJENGA KIWANDA CHA KUSINDIKA SAMAKI IKWIRIRI
20 Oct, 2025
00:00

SERIKALI YA CCM KUJENGA KIWANDA CHA KUSINDIKA SAMAKI IKWIRIRI

Rufiji - Pwani,Serikali ya Chama Cha Mapinduzi Chini ya Mgombea wa kiti cha urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa ahadi ya ujenzi wa kiwanda Cha kusindika Samaki Rufiji Mkoani Pwani.

Soma Zaidi
SERIKALI IMETOA MICHE YA MIKOROSHO BURE KWA WAKULIMA MKURANGA
20 Oct, 2025
00:00

SERIKALI IMETOA MICHE YA MIKOROSHO BURE KWA WAKULIMA MKURANGA

Mkuranga- Pwani,Mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt Samia Suluhu Hassan akiendelea na ziara yake ya kampeni Mkoani Pwani

Soma Zaidi
MNADA WA KOROSHO RUFIJI KUANZA RASMI 30 OKTOBA
20 Oct, 2025
00:00

MNADA WA KOROSHO RUFIJI KUANZA RASMI 30 OKTOBA

Rufiji- Pwani,Mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan mchana huu

Soma Zaidi
DKT. SAMIA AKIONGEA NA WAPIGA KURA WAKE MPANDA MJINI
18 Oct, 2025
00:00

DKT. SAMIA AKIONGEA NA WAPIGA KURA WAKE MPANDA MJINI

Akiwa mjini Mpanda mkoani Katavi, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameendelea kuwahamasisha wananchi kuendeleza imani kwa chama chenye historia ya kazi na matendo.

Soma Zaidi