DAY TWO: ZIARA YA KITENDAJI YAENDELEA KATA ZA MBWENI NA WAZO
Katika mwendelezo wa ziara ya kitendaji, tarehe 25 Machi, 2026, nimeendelea na ziara katika Kata za Mbweni na Wazo, ambapo nimekutana na viongozi pamoja na wanachama wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM).
Soma Zaidi
ZIARA YA KITENDAJI KATIBU UVCCM (W) KIBAHA MJINI – VIJANA TUONGEE FURSA
Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM Wilaya ya Kibaha Mjini, Ndugu Joel Jacob Kituu, ameanza rasmi ziara ya kitendaji inayojulikana kwa jina la “Vijana Tuongee Fursa” katika Kata ya Tangini.
Soma Zaidi
ZIARA UVCCM WILAYA YA BABATI MJINI 2026
Kamati Tendaji chini ya Katibu wa Vijana Wilaya NDG SUYAAN N. MOLLEL imeendelea kufanya ziara yake na leo tar 26/3/2026 amefanya ziara Seneti ya Veta Manyara amekutana na wanachuo na kueleza malengo ya ziara hiyo ikiwemo kukagua uhai wa jumuiya, kuingiza wanachama wapya ...
Soma Zaidi
ZIARA YA KIUTENDAJI UVCCM (W) TANGA YAANZA KWA KASI KATA YA KIOMONI
Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Wilaya ya Tanga, Ndugu Salum Dede, leo tarehe 26/03/2026 ameanza rasmi ziara ya kiutendaji katika Kata ya Kiomoni, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha uhai wa Jumuiya katika ngazi zote.
Soma Zaidi
KATIBU UVCCM (W) SONGEA MJINI AENDELEA NA ZIARA YA KITENDAJI KATA ZA SHULE YA TANGA NA MSHANGANO
Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Wilaya ya Songea Mjini, Ndugu David J. Mlonga, ameendelea na ziara ya kitendaji katika Kata za Shule ya Tanga na Mshangano, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha uhai wa Jumuiya na kuongeza ushiriki wa vijana katika shughuli zake.
Soma Zaidi
KATIBU UVCCM SONGEA VIJIJINI AFANYA ZIARA YA KIUTENDAJI KUIMARISHA UMOJA WA VIJANA
Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Songea Vijijini ameanza ziara ya kiutendaji katika kata na matawi mbalimbali, akilenga kuimarisha uhai wa Jumuiya na kuongeza ufanisi wa shughuli za vijana ndani ya chama.
Soma Zaidi