UVCCM SUMBAWANGA YAADHIMISHA MIAKA 49 YA CCM KWA SHUGHULI ZA KIJAMII
Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Sumbawanga Mjini wameadhimisha miaka 49 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kushiriki katika shughuli mbalimbali za kijamii, ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono misingi ya chama ya kujitolea kwa jamii, amani na mshikamano wa kitaifa.
Soma Zaidi
UVCCM MBEYA MJINI YAADHIMISHA MIAKA 49 YA CCM KWA SHUGHULI ZA KIMAENDELE MBEYA MJINI
Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Mbeya Mjini ameshiriki leo katika shughuli za kimaendeleo katika Kata ya Nzovwe, pamoja na Diwani wa kata hiyo. Shughuli zilizofanyika ni pamoja na kukarabati barabara na kujaza vifusi katika maeneo korofi, hatua zilizolenga kuboresha miundombinu ya wananchi na kuendeleza huduma za kijamii.
Soma Zaidi
UVCCM KONDODA YAADHIMISHA KIKAO CHA KAWAIDA CHA BARAZA LA VIJANA
KONDOA, TANZANIA – 31 Januari 2026 Leo, Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Kondoa, Mwalimu Said Ndwata (Bei Chee), ameongoza Kikao cha Kawaida cha Baraza la Umoja wa Vijana wa CCM Wilaya, kilichokuwa na ajenda tatu muhimu kwa maendeleo ya vijana na Jumuiya ya UVCCM wilayani hapa.
Soma Zaidi
KATIBU MKUU WA UVCCM ASHIRIKI DUA MAALUM YA KUMUOMBEA RAIS DKT. SAMIA
Katibu Mkuu wa UVCCM na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Ndugu Halid Mwinyi, ameshiriki katika dua maalum ya kumuombea kheri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakati wa kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa iliyoandaliwa na Afisi Kuu ya UVCCM Zanzibar.
Soma Zaidi
DIWANI LUTFIA AONGOZA WANANCHI KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA
Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa kutoka Mkoa wa Mjini Unguja, ambaye pia ni Diwani wa Wadi ya Kwahani, Ndugu Lutfia Juma Idd, ameongoza wakazi wa wadi hiyo kushiriki zoezi la usafi wa mazingira lililofanyika katika maeneo mbalimbali ya wadi hiyo.
Soma Zaidi
DKT. SAMIA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM TAIFA, ZANZIBAR
Zanzibar | Januari 25, 2026 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika Zanzibar tarehe 25 Januari 2026.
Soma Zaidi