SAMIA SCHOLARSHIP NI UFADHILI WA BURE KABISA SIO MKOPO
Mkuu wa idara ya uhusiano wa Kimataifa vyuo na vyuo Vikuu UVCCM Taifa Ndg Emanuel Martine* leo tarehe 23.09.2025 akiambatana na Mwenyekiti wa UVCCM vyuo na vyuo Vikuu mkoa wa pwani Ndg Mwanaidi Khamis Ramadhani amefanya mazungumzo na waalimu na wanafunzi wa shule ya Sekondari kibaha ambapo alipita kuwapa salamu za upendo za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM Dkt Samia Suluhu Hassan.
Soma Zaidi
SOMBI AZINDUA RASMI KAMPENI JIMBO LA DIMANI
Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndugu Rehema Sombi Omary (MNEC) leo Tarehe 23Septemba 2025 amezindua rasmi kampeni za Chama cha Mapinduzi katika jimbo la Dimani Zanzibar.
Soma Zaidi
SOMBI ASHIRIKI KAMPENI NZEGA MJINI,
KOMREDI SOMBI ASHIRIKI KAMPENI NZEGA MJINI, AMUOMBEA KURA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN,WABUNGE NA MADIWANI.
Soma Zaidi
HODI MANYARA
Katibu Mkuu wa Jumuiya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Ndugu Halid Mwinyi (MNEC) anatarajia kufanya ziara ya kikazi katika Mkoa wa Manyara kuanzia tarehe 22 Septemba,
Soma Zaidi
SOMBI ATETA NA VIJANA WA KAHAMA AWATAKA KUWA MSTARI WA MBELE KUZISAKA KURA ZA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN.
Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Taifa na Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Ndugu Rehema Sombi amekutana na Vijana UVCCM Wilaya ya Kahama Mkoa wa Shinyanga Jana Septemba 20, 2025 katika Ofisi za CCM Wilaya huku akiteta nao kuhusu wajibu wao wa kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu Pamoja na kuhamasisha wengine wajitokeze kwa wingi kupiga kura.
Soma Zaidi
RUVUMA INASONGA MBELE
CCM chini ya uongozi wa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imehakikisha utekelezaji wa miradi mikubwa mkoani Ruvuma unaendelea kwa kasi na kwa ufanisi. Miradi hii ni mfano halisi wa Ilani ya CCM 2020–2025 na inaendelea kuweka msingi imara wa Ilani ya 2025–2030, huku ikinufaisha moja kwa moja vijana wa mkoa.
Soma Zaidi