Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)
MNADA WA KOROSHO RUFIJI KUANZA RASMI 30 OKTOBA | UVCCM
MNADA WA KOROSHO RUFIJI KUANZA RASMI 30 OKTOBA | UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)
Habari Nyingine

MNADA WA KOROSHO RUFIJI KUANZA RASMI 30 OKTOBA

20 Oct, 2025 00:00 Admin User 66 views 0 comments
Rufiji- Pwani,Mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan mchana huu 

Amezungumza na wananchi wa jimbo la Rufiji katika Mkutano wa kampeni ambapo amewaeleza kuwa tayari Serikali imekamilisha taratibu zote za Manada wa korosho Wilayani hapo na utaanza rasmi tarehe 30 mwezi huu 

#OktobaTunatiki ✅✅✅
#FyuchaBilaStresi
#TokaNitokeTukatiki✅
Admin User

Mwandishi wa UVCCM - Anatoa taarifa za kusisimua kuhusu shughuli za vijana na maendeleo ya taifa.