UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Habari & Matukio

Habari za CCM, Habari za Vijana, Habari za Maendeleo n.k

KIWANJA KIKUBWA CHA MICHEZO KUJENGWA GEITA
14 Oct, 2025
00:00

KIWANJA KIKUBWA CHA MICHEZO KUJENGWA GEITA

Dkt Samia Suluhu Hassan ambaye ni Mgombea wa urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi kwa awamu ya 2025-2030 ameahidi ujenzi wa kiwanja kikubwa cha Michezo Mkoani Geita ili kukuza Sekta ya Michezo Nchini.

Soma Zaidi
Banda la UVCCM Linaendelea Viwanja vya Uhindini
14 Oct, 2025
00:00

Banda la UVCCM Linaendelea Viwanja vya Uhindini

UVCCM imeendelea kutoa elimu kwa vijana katika viwanja vya Uhindini Jijini Mbeya, katika maonesho ya Wiki ya Vijana kitaifa yanayoendelea. UVCCM imeendelea kuelimisha vijana namna sahihi ya kupiga kura za Mgombea wa Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutumia mfano wa karatasi ya kura, pamoja na umuhimu wa kushiriki uchaguzi wa Oktoba 29, 2025, na kuchagua wabunge na madiwani wa CCM.

Soma Zaidi
AMANI YA TAIFA LETU YAMVUTIA WENJE CCM
14 Oct, 2025
00:00

AMANI YA TAIFA LETU YAMVUTIA WENJE CCM

Aliekuwa Mwenyekiti wa Chadema ukanda wa ziwa Victoria na Mbunge mstaafu wa Jimbo la Nyamagana Ndugu. Ezekiel D Wenje amejiunga rasmi na Chama cha Mapinduzi leo Tarehe 13/10/2025 katika mkutano wa CCM wa kampeni Wilaya ya Chato Mkoani Geita.

Soma Zaidi
SERIKALI YA CCM KUJENGA TAWI LA JKCI GEITA MJINI
14 Oct, 2025
00:00

SERIKALI YA CCM KUJENGA TAWI LA JKCI GEITA MJINI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan akiinadi Ilani ya Chama cha Mapinduzi akiwa katika jimbo la Geita Mjini amewaeleza wananchi kuwa Serikali imejipanga kujenga tawi la JKCI ndani ya jimbo hilo ili kuwasogezea wananchi huduma ya matibabu ya moyo.

Soma Zaidi
JE UNAWATAMBUA HAWA NI AKINA NANI?
14 Oct, 2025
00:00

JE UNAWATAMBUA HAWA NI AKINA NANI?

Wanawake mmezaliwa Na uwezo sawa na Wanaume, mkiwa na uwezo wa kutimiza mambo makubwa lakini jamii na baadhi ya watu wamewafanya muamini kuwa hamuwezi, Kataeni dhana hiyo kwa kuwa mna uwezo; Mwalimu Julius K Nyerere

Soma Zaidi
HONGERENI SANA  WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU KITAIFA 2025
14 Oct, 2025
00:00

HONGERENI SANA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU KITAIFA 2025

Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) chini ya Mwenyekiti wake Ndugu Mohammed Ali Kawaida(MCC) unatoa hongera na pongezi kwa Vijana wenzetu Wakimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025 kwa kazi kubwa ya kizalendo, ushujaa, uadilifu na kujitoa kwa moyo mmoja kulitumikia taifa letu.

Soma Zaidi