SERIKALI YA CCM KUJENGA KIWANDA CHA KUSINDIKA SAMAKI IKWIRIRI
20 Oct, 2025
15 Machapisho
Rufiji - Pwani,Serikali ya Chama Cha Mapinduzi Chini ya Mgombea wa kiti cha urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa ahadi ya ujenzi wa kiwanda Cha kusindika Samaki Rufiji Mkoani Pwani.
Kiwanda hicho kitalenga kuongeza ajira kwa Vijana na kukuza Uchumi wa Pwani na Taifa kwa Ujumla, Dkt Samia Suluhu Hassan pia amewaomba Watanzania wajitokeze kupiga kura Oktoba 29 na kumpa Ridhaa Ya kuiongoza Nchi kwa awamu ijayo ili kutekeleza yale yaliyopa katika Ilani ya Chama Cha Mapinduzi.
#oktobatunatiki ✅✅✅
#fyuchabilastresi
#tokanitoketukatiki ✅
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.