DKT.NCHIMBI AENDELEA KUSAKA KURA ZA USHINDI WA KISHINDO ZA DKT.SAMIA JIJINI DAR
Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwahutubia Wananchi kwenye mkutano wake wa hadhara wa kampeni,uliofanyika leo Septemba 30,2025 katika uwanja wa Kampala-Gongolamboto,Jimbo la Ukonga wilaya ya ilala,jijini Dar es Salaam.
Soma Zaidi
SAMIA EXTENDED PROGRAM: WANAFUNZI KUTAFUTIWA VYUO VYA UMAHIRI DUNIANI KWA UFADHILI WA DKT. SAMIA
Katika mwendelezo wa ziara zake za kukutana na makundi mbalimbali ya vijana na wanavyuo, Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa Vyuo na Vyuo Vikuu UVCCM Taifa Ndg. Emanuel Martine leo amekutana na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Loleza, Mkoa wa Mbeya.
Soma Zaidi
NYONGEZA YA MSHAHARA KWA WATUMISHI WA UMMA, CHACHU YA UPENDO WA WATUMISHI KWA DKT. SAMIA
Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa, Vyuo na Vyuo Vikuu UVCCM Taifa, Ndg. Emanuel Martine, leo tarehe 28/09/2025 amekutana na walimu makada na wazalendo wa Mkoa wa Iringa akiwa ameambatana na Katibu Msaidizi Mkuu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Taifa, Ndg. Bulugu Magege.
Soma Zaidi
ð—™ð—œð—¥ð—¦ð—§ ð—§ð—œð— ð—˜ ð—©ð—¢ð—§ð—˜ð—¥ð—¦ ð—žð—”ð—§ð—”ð—©ð—œ ð—ªð—”ð—£ð—¢ ð—§ð—”ð—¬ð—”ð—¥ð—œ ð—žð—¨ð—§ð—œð—žð—œ ð—¢ð—žð—§ð—¢ð—•ð—” ð—žð—ªð—” ð——ð—žð—§. ð—¦ð—”ð— ð—œð—”
Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya UVCCM Taifa na pia Mjumbe wa Baraza Kuu la UVCCM kutoka Mkoa wa Katavi, Eng. Debora Joseph Tluway, amekutana na vijana wapiga kura wapya walioshiriki kongamano la mbio za Mwenge lililofanyika katika Halmashauri ya Mpimbwe, Mkoa wa Katavi.
Soma Zaidi
MWAKITINYA, MWANRI MGUU KWA MGUU MITAANI KUZISAKA KURA ZA DKT. SAMIA
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Tanzania Bara, Ndg. Mussa Peter Mwakitinya , leo 28 Septemba 2025 ameungana na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa mstaafu wa Tabora, Ndg. Aggrey Mwanri, katika harakati za kusaka kura za kishindo kwa ajili ya Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Soma Zaidi
Rais Dkt. Mwinyi Apokea Pole Kufuatia Kifo cha Kaka Yake
Zanzibar, 26 Septemba 2025 – Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amepokea salamu za pole kufuatia kifo cha kaka yake mpendwa, Marehemu Abbas Ali Mwinyi, kilichotokea jana tarehe 25 Septemba 2025.
Soma Zaidi