SERIKALI YA CCM KUJENGA UZIO WA MAFURIKO RUFIJI
20 Oct, 2025
11 Machapisho
Rufiji-Pwani,Katika mkutano uliojaa hamasa na matumaini mapya kwa wananchi wa Rufiji, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza mpango kabambe wa serikali wa kujenga uzio maalum wa kuzuia mafuriko katika bonde la Rufiji.
Amesema hatua hiyo ni sehemu ya dhamira ya CCM kuhakikisha wananchi wanaishi kwa usalama na shughuli za kilimo, biashara na makazi haziathiriwi tena na maafa ya mvua kubwa, Dkt. Samia amesisitiza kuwa serikali itasimamia utekelezaji wake kwa vitendo ili kulinda maisha ya Watanzania na kuendeleza kasi ya maendeleo endelevu nchini.
#oktobatunatiki✅✅✅
#fyuchabilastresi
#tokanitoketukatiki ✅
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.