Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)
SERIKALI IMETOA MICHE YA MIKOROSHO BURE KWA WAKULIMA MKURANGA | UVCCM
SERIKALI IMETOA MICHE YA MIKOROSHO BURE KWA WAKULIMA MKURANGA | UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)
Habari Nyingine

SERIKALI IMETOA MICHE YA MIKOROSHO BURE KWA WAKULIMA MKURANGA

20 Oct, 2025 00:00 Admin User 63 views 0 comments
Mkuranga- Pwani,Mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt Samia Suluhu Hassan akiendelea na ziara yake ya kampeni Mkoani Pwani 

Amezungumza na wananchi wa jimbo la Mkuranga jioni hii, amewaeleza kuwa Serikali imetoa miche ya mikorosho bure na Ruzuku ya dawa na mbolea kwa wakulima wa korosho ili kuongeza kiwango cha uzalishaji wa zao hilo 

#OktobaTunatiki ✅✅✅
#FyuchaBilaStresi
#TokaNitokeTukatiki✅
Admin User

Mwandishi wa UVCCM - Anatoa taarifa za kusisimua kuhusu shughuli za vijana na maendeleo ya taifa.