DKT. SAMIA AKIONGEA NA WAPIGA KURA WAKE MPANDA MJINI
18 Oct, 2025
9 Machapisho
🗓️Jumamosi Tarehe 18 Oktoba,2025
📍Mpanda Mjini-Katavi
Akiwa mjini Mpanda mkoani Katavi, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameendelea kuwahamasisha wananchi kuendeleza imani kwa chama chenye historia ya kazi na matendo.
Ameeleza dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita kuimarisha uchumi wa wananchi kupitia miradi mikubwa ya miundombinu, kilimo, maji, na elimu, huku akisisitiza kuwa safari ya maendeleo haina kurudi nyuma amesema Tanzania ya leo inahitaji umoja, kasi, na Uthubutu si maneno bali Matendo Yanayoonekana.
#oktobatunatiki✅✅✅
#fyuchabilastresi
#tokanitoketukatiki ✅
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.