UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Habari & Matukio

Habari za CCM, Habari za Vijana, Habari za Maendeleo n.k

SERIKALI YA CCM KUJENGA TAWI LA JKCI GEITA MJINI
14 Oct, 2025
00:00

SERIKALI YA CCM KUJENGA TAWI LA JKCI GEITA MJINI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan akiinadi Ilani ya Chama cha Mapinduzi akiwa katika jimbo la Geita Mjini amewaeleza wananchi kuwa Serikali imejipanga kujenga tawi la JKCI ndani ya jimbo hilo ili kuwasogezea wananchi huduma ya matibabu ya moyo.

Soma Zaidi
JE UNAWATAMBUA HAWA NI AKINA NANI?
14 Oct, 2025
00:00

JE UNAWATAMBUA HAWA NI AKINA NANI?

Wanawake mmezaliwa Na uwezo sawa na Wanaume, mkiwa na uwezo wa kutimiza mambo makubwa lakini jamii na baadhi ya watu wamewafanya muamini kuwa hamuwezi, Kataeni dhana hiyo kwa kuwa mna uwezo; Mwalimu Julius K Nyerere

Soma Zaidi
HONGERENI SANA  WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU KITAIFA 2025
14 Oct, 2025
00:00

HONGERENI SANA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU KITAIFA 2025

Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) chini ya Mwenyekiti wake Ndugu Mohammed Ali Kawaida(MCC) unatoa hongera na pongezi kwa Vijana wenzetu Wakimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025 kwa kazi kubwa ya kizalendo, ushujaa, uadilifu na kujitoa kwa moyo mmoja kulitumikia taifa letu.

Soma Zaidi
VIWANDA VYA KUCHAKATA MAZIWA YA NG'OMBE KUJENGWA BUKOMBE
12 Oct, 2025
00:00

VIWANDA VYA KUCHAKATA MAZIWA YA NG'OMBE KUJENGWA BUKOMBE

Katika hotuba yake yenye hamasa kubwa iliyowasha matumaini mapya kwa wananchi wa Bukombe mkoani Geita Dkt. Samia Suluhu Hassan Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ametangaza mpango kabambe wa kujenga viwanda vya kisasa vya kuchakata maziwa ya ng’ombe vitakavyobadili Taswira ya uchumi wa mifugo nchini.

Soma Zaidi
DKT. SAMIA AKIZUNGUMZA NA WAPIGA KURA WAKE BUKOMBE
12 Oct, 2025
00:00

DKT. SAMIA AKIZUNGUMZA NA WAPIGA KURA WAKE BUKOMBE

Akiwa katika Uwanja wa Bukombe mkoani Geita, Dkt. Samia Suluhu Hassan Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amewasisimua Maelfu ya wananchi waliofurika kumsikiliza kwa shauku na Matumaini makubwa.

Soma Zaidi
MATEMBEZI YA HESHIMA KUELEKEA KWENYE MKUTANO WA KAMPENI ZA UCHAGUZI BUKOMBE
12 Oct, 2025
00:00

MATEMBEZI YA HESHIMA KUELEKEA KWENYE MKUTANO WA KAMPENI ZA UCHAGUZI BUKOMBE

Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC) ameongoza matembezi ya maelfu ya vijana wa Bukombe mkoani Geita kuelekea Uwanjani ambapo unafanyika mkutano wa hadhara wa kampeni wa Mgombea wa Urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 12 Oktoba 2025.

Soma Zaidi