DKT. SAMIA AKIZUNGUMZA NA WAPIGA KURA WAKE BUKOMBE
12 Oct, 2025
13 Machapisho
🗓️ Tarehe 12/10/2025
📍Bukombe-Geita
Akiwa katika Uwanja wa Bukombe mkoani Geita, Dkt. Samia Suluhu Hassan Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amewasisimua Maelfu ya wananchi waliofurika kumsikiliza kwa shauku na Matumaini makubwa.
Katika hotuba yake yenye msukumo wa maendeleo amesisitiza kuwa serikali anayoiongoza itaendelea kuwekeza kwenye miradi mikubwa ya miundombinu, elimu, afya na upatikanaji wa maji safi vijijini na mijini, huku akiahidi kulinda amani, umoja na heshima ya taifa. Dkt. Samia ametoa wito kwa wananchi wa Bukombe na Watanzania wote kwa ujumla kutoka kwa wingi tarehe 29 Oktoba 2025 na kutiki CCM kama ishara ya kuunga mkono kasi ya maendeleo na uongozi wa hekima unaoweka msingi wa Tanzania yenye fursa, utulivu na mafanikio endelevu.
#OktobaTunatiki
#FyuchaBilaStresi
#TokaNitokeTukatiki
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.