VIWANDA VYA KUCHAKATA MAZIWA YA NG'OMBE KUJENGWA BUKOMBE
12 Oct, 2025
12 Machapisho
🗓️ Tarehe 12/10/2025
📍 Bukombe -Geita
Katika hotuba yake yenye hamasa kubwa iliyowasha matumaini mapya kwa wananchi wa Bukombe mkoani Geita Dkt. Samia Suluhu Hassan Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ametangaza mpango kabambe wa kujenga viwanda vya kisasa vya kuchakata maziwa ya ng’ombe vitakavyobadili Taswira ya uchumi wa mifugo nchini.
Ameeleza kuwa miradi hiyo itazalisha maelfu ya ajira, kuimarisha soko la maziwa na bidhaa zake na kuongeza kipato cha wafugaji kupitia Uchakataji wa Kisasa, hatua hii Inaashiria Mwelekeo Thabiti wa Dkt. Samia wa kuijenga Bukombe kuwa kitovu cha uzalishaji na uchumi wa Mifugo, Ikidhihirisha dhamira yake ya dhati ya kuinua maisha ya wananchi kupitia Tanzania ya Viwanda na Maendeleo Endelevu.
#OktobaTunatiki
#FyuchaBilaStresi
#TokaNitokeTukatiki
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.