DKT. SAMIA KIONGOZI MWENYE UPENDO
Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kiongozi mwenye upendo kwa wananchi wake, anayejali utu na maisha bora ya kila Mtanzania. Upendo huu umejidhihirisha kupitia maamuzi yake ya kuwekeza zaidi kwenye afya, elimu, maji safi, nishati, miundombinu na uwezeshaji wa vijana na wanawake na maendeleo kiujumla.
Soma Zaidi
Balozi Dkt. Nchimbi Ahamasisha Wakazi wa Isaka Kuhakikisha Ushindi wa CCM Oktoba 29
Shinyanga, Septemba 3, 2025 – Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, leo Alhamisi amewahutubia maelfu ya wakazi wa mji mdogo wa Isaka, wilayani Kahama, Jimbo la Msalala, katika mkutano wa hadhara uliopambwa na hamasa kubwa za kisiasa.
Soma Zaidi
MBALIZI HAINA JAMBO DOGO, YAFUNIKA MAPOKEZI YA DKT. SAMIA
Mbeya, Septemba 4, 2025 – Mapokezi ya kishindo yamemsubiri Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, baada ya maelfu ya wakazi wa Mbalizi kujitokeza kwa wingi kumpokea na kushiriki naye katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo.
Soma Zaidi
KAWAIDA ATEMBELEA NA KUKAGUA VIWANJA VYA TANGANYIKA PACKERS
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa, Ndg. Mohammed Ali Kawaida, leo tarehe 27 Agosti 2025, ametembelea na kukagua maendeleo ya maandalizi ya Viwanja vya Tanganyika Packers jijini Dar es Salaam. Viwanja hivyo vinajiandaa kwa ajili ya tukio kubwa la Uzinduzi wa Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) litakalofanyika kesho tarehe 28 Agosti 2025.
Soma Zaidi
UVCCM yazindua “Kijani Ilani ChatBot
Dar es Salaam – Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Mohammed Kawaida, ameongoza hafla ya uzinduzi wa Kijani Ilani Chat Bot, programu mpya ya kidijitali inayolenga kuongeza hamasa za kisiasa miongoni mwa vijana kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025.
Soma Zaidi
MWINYI: NITAENDELEZA MAZURI YALIOANZISHWA NA KUSIMAMIA KANUNI YA UVCCMUVCCM
Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ndg. Halid Mwinyi, ameahidi kuendeleza mazuri yote yaliyoanzishwa na kuhakikisha kanuni za UVCCM zinasimamiwa ipasavyo katika kipindi cha uongozi wake.
Soma Zaidi