UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Habari & Matukio

Habari za CCM, Habari za Vijana, Habari za Maendeleo n.k

SERIKALI KUFIKISHA UMEME KWA WACHIMBAJI RUNZEWE
12 Oct, 2025
00:00

SERIKALI KUFIKISHA UMEME KWA WACHIMBAJI RUNZEWE

Mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt Samia Suluhu Hassan akiongea na wananchi wa Runzewe Mkoani Geita katika Mkutano wa Kampeni Mchana huu.

Soma Zaidi
DKT.NCHIMBI  ATUA KIGOMA KUSAKA KURA ZA USHINDI WA KISHINDO ZA DKT. SAMIA
12 Oct, 2025
00:00

DKT.NCHIMBI ATUA KIGOMA KUSAKA KURA ZA USHINDI WA KISHINDO ZA DKT. SAMIA

PICHA mbalimbali za Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Emmanuel Johnn Nchimbi akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kibondo leo Oktoba 12, 2025 kuendelea na mikutano yake ya hadhara ya Kampeni, kusaka kura za ushindi wa kishindo za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan,Wabunge na Madiwani.

Soma Zaidi
DKT SAMIA AKIONGEA NA WAPIGA KURA WAKE SHINYANGA MJINI
11 Oct, 2025
00:00

DKT SAMIA AKIONGEA NA WAPIGA KURA WAKE SHINYANGA MJINI

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daktari Samia Suluhu Hassan, ameendelea na kampeni zake kwa kishindo akiwa Shinyanga Mjini, ambako amezungumza na Maelfu ya wananchi waliokusanyika kumsikiliza, Akiwa jukwaani Dkt. Samia amesisitiza dhamira ya serikali ya awamu ya sita kuendeleza utekelezaji wa miradi ya maendeleo ikiwemo barabara, maji, afya, elimu na nishati ambayo Imeleta Mapinduzi makubwa katika maisha ya wananchi wa Shinyanga.

Soma Zaidi
TACTIC NA TARURA KUZIJENGA BARABARA ZA NDANI KAHAMA
11 Oct, 2025
00:00

TACTIC NA TARURA KUZIJENGA BARABARA ZA NDANI KAHAMA

Mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt Samia Suluhu Hassan wakati akihitimisha ziara yake ya kampeni mkoani Shinyanga jioni ya leo amefanya mkutano wa hadhara na wananchi wa Kahama Mjini.

Soma Zaidi
VIJANA SHINYANGA WAFUNIKA, WAMUAPISHA DKT. SAMIA KWA KISHINDO CHA OKTOBA TUNATIKI
11 Oct, 2025
00:00

VIJANA SHINYANGA WAFUNIKA, WAMUAPISHA DKT. SAMIA KWA KISHINDO CHA OKTOBA TUNATIKI

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC), ameongoza maelfu ya vijana wa Shinyanga Mjini katika matembezi ya kishindo yaliyojaa hamasa, uzalendo na mshikamano chini ya kaulimbiu ya Oktoba Tunatiki Vijana hao wameonesha umoja wa nguvu ya kizazi kipya, wakiahidi kulinda amani, kudumisha utulivu wa Taifa na kujitoa kwa dhati kumpigia kura Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 29 Oktoba 2025, wakisema ndiye kiongozi anayewaletea matumaini, Maendele

Soma Zaidi
UVCCM YASHIRIKI WIKI YA VIJANA KITAIFA MKOANI MBEYA
11 Oct, 2025
00:00

UVCCM YASHIRIKI WIKI YA VIJANA KITAIFA MKOANI MBEYA

Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umeshiriki katika wiki ya Vijana inayoendelea Jijini Mbeya, ambayo ilizinduliwa rasmi tarehe 10 Oktoba 2025 na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Mb).

Soma Zaidi