UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Habari & Matukio

Habari za CCM, Habari za Vijana, Habari za Maendeleo n.k

SERIKALI KUFANYA MAREKEBISHO MAKUBWA YA RELI YA KATI
22 Oct, 2025
00:00

SERIKALI KUFANYA MAREKEBISHO MAKUBWA YA RELI YA KATI

Ilala -Dar es Salaam,Serikali ya Chama Cha Mapinduzi Chini ya Mgombea wake wa Urais Dkt Samia Suluhu Hassan ameeleza kuwa watafanya Marekebisho makubwa ya Reli ya Kati, Reli ya TAZARA ili ifanye kazi vizuri ili kuweza kuchochea Maendeleo mazuri ya Taifa Letu.

Soma Zaidi
DKT SAMIA TUNA KAMPUNI ZAIDI YA NNE (4) ZA USAFIRI MWENDOKASI DAR
22 Oct, 2025
00:00

DKT SAMIA TUNA KAMPUNI ZAIDI YA NNE (4) ZA USAFIRI MWENDOKASI DAR

Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kwa tiketi ya CCM *Dkt. Samia Suluhu Hassan,* ameonyesha dhamira thabiti ya kuboresha huduma za usafiri jijini Dar es Salaam kupitia mfumo wa Usafiri wa Mabasi ya Mwendokasi (UDART). Hivi karibuni, Serikali inaendelea kufanya mazungumzo na kampuni nne kuendesha huduma za mabasi katika njia zinazofikia vituo vya mwisho vya mwendokasi

Soma Zaidi
SERIKALI KUTOA FURSA KWA SEKTA BINAFSI HUDUMA ZA MWENDO KASI DSM
22 Oct, 2025
00:00

SERIKALI KUTOA FURSA KWA SEKTA BINAFSI HUDUMA ZA MWENDO KASI DSM

Ilala Dar es Salaam,amesema hayo Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan, akibainisha kuwa Serikali itaendelea kutoa fursa kwa sekta binafsi kushiriki katika uendeshaji wa huduma za mwendo kasi jijini Dar es Salaam.

Soma Zaidi
SERIKALI YA CCM KUJENGA SOKO KUBWA LA KISASA JANGWANI DSM
22 Oct, 2025
00:00

SERIKALI YA CCM KUJENGA SOKO KUBWA LA KISASA JANGWANI DSM

Ilala Dar es salaam, Mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt Samia Suluhu Hassan akiendelea na ziara yake ya kampeni Mkoani Dar es salaam Mchana wa leo.

Soma Zaidi
WAJANJA WOTE WANATIKI OKTOBA 29
22 Oct, 2025
00:00

WAJANJA WOTE WANATIKI OKTOBA 29

Ewe Mwananchi Mwenzangu, kichinjio chako ndio tiketi iliyobeba dhamana ya maamuzi yako

Soma Zaidi
TANZANIA INASHIKA NAFASI YA PILI UZALISHAJI MAHINDI NA TUMBAKU AFRIKA
20 Oct, 2025
00:00

TANZANIA INASHIKA NAFASI YA PILI UZALISHAJI MAHINDI NA TUMBAKU AFRIKA

Mkuranga - Pwani, Dkt Samia Suluhu Hassan ambaye ni Mgombea wa kiti Cha urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Leo akiwa Mkoani Pwani akiendelea kuinadi ilani ya Chama Cha Mapinduzi ameeleza kuwa Tanzania tumefikia hatua nzuri ya uzalishaji wa mazao ya kilimo na Tumbaku inayosaidia katika kukuza Uchumi wa Nchi.

Soma Zaidi