UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Habari & Matukio

Habari za CCM, Habari za Vijana, Habari za Maendeleo n.k

SERIKALI CCM KULETA BOTI MBILI ZA KUSAFIRISHA WAGONJWA MULEBA
15 Oct, 2025
00:00

SERIKALI CCM KULETA BOTI MBILI ZA KUSAFIRISHA WAGONJWA MULEBA

Katika kuimarisha huduma za afya kwa wananchi wanaoishi katika visiwa na Maeneo ya Mwambao wa Ziwa Victoria, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza mpango wa serikali wa kuleta boti mbili mpya za kisasa kwa ajili ya kusafirisha wagonjwa katika Halmashauri ya Muleba, Mkoa wa Kagera.

Soma Zaidi
DKT. SAMIA: TUMEMPOTEZA KIONGOZI MAHIRI NA MPENDA AMANI
15 Oct, 2025
00:00

DKT. SAMIA: TUMEMPOTEZA KIONGOZI MAHIRI NA MPENDA AMANI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea Urais kupitia tiketi ya CCM Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema amepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, Mheshimiwa Raila Amolo Odinga, akimtaja kuwa kiongozi mahiri, Mwanamajumui wa Afrika, mpenda amani na mtafuta suluhu.

Soma Zaidi
UWANJA WA MAONYESHO GEITA KUBORESHWA KWA VIWANGO VYA KIMATAIFA
14 Oct, 2025
00:00

UWANJA WA MAONYESHO GEITA KUBORESHWA KWA VIWANGO VYA KIMATAIFA

Mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan akiendelea na ziara yake ya kampeni kwa kanda ya Ziwa mchana huu amezungumza na wananchi wa jimbo la Geita Mjini

Soma Zaidi
KIWANJA KIKUBWA CHA MICHEZO KUJENGWA GEITA
14 Oct, 2025
00:00

KIWANJA KIKUBWA CHA MICHEZO KUJENGWA GEITA

Dkt Samia Suluhu Hassan ambaye ni Mgombea wa urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi kwa awamu ya 2025-2030 ameahidi ujenzi wa kiwanja kikubwa cha Michezo Mkoani Geita ili kukuza Sekta ya Michezo Nchini.

Soma Zaidi
Banda la UVCCM Linaendelea Viwanja vya Uhindini
14 Oct, 2025
00:00

Banda la UVCCM Linaendelea Viwanja vya Uhindini

UVCCM imeendelea kutoa elimu kwa vijana katika viwanja vya Uhindini Jijini Mbeya, katika maonesho ya Wiki ya Vijana kitaifa yanayoendelea. UVCCM imeendelea kuelimisha vijana namna sahihi ya kupiga kura za Mgombea wa Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutumia mfano wa karatasi ya kura, pamoja na umuhimu wa kushiriki uchaguzi wa Oktoba 29, 2025, na kuchagua wabunge na madiwani wa CCM.

Soma Zaidi
AMANI YA TAIFA LETU YAMVUTIA WENJE CCM
14 Oct, 2025
00:00

AMANI YA TAIFA LETU YAMVUTIA WENJE CCM

Aliekuwa Mwenyekiti wa Chadema ukanda wa ziwa Victoria na Mbunge mstaafu wa Jimbo la Nyamagana Ndugu. Ezekiel D Wenje amejiunga rasmi na Chama cha Mapinduzi leo Tarehe 13/10/2025 katika mkutano wa CCM wa kampeni Wilaya ya Chato Mkoani Geita.

Soma Zaidi