KAWAIDA: VIJANA, TUNAJUKUMU LA KULINDA AMANI, UMOJA NA MSHIKAMANO WA TAIFA LETU
- Kuanzishwa kwa Tume Huru ya Uchaguzi
- Ujenzi wa vituo vya afya, hospitali za wilaya, na zahanati
- Kuendeleza elimu kupitia shule na vyuo vya VETA
- Kuhakikisha uhuru wa vyombo vya habari
- Kufutwa kwa kesi za kisiasa
Habari Zinazohusiana
Tanzania na Marekani Zimefikisha Hatua za Mwisho za Kufanikisha Makubaliano Makubwa ya Uwekezaji
08 Dec, 2025
Dodoma, Tanzania – Tanzania na Marekani ziko katika hatua za mwisho za kufanikisha makubaliano makubwa ya uwekezaji yanayolenga kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia, kiuchumi na kiusalama kati ya mataifa haya mawili. Hii ni hatua inayothibitisha dhamira ya pande zote mbili katika kujenga ushirikiano wa kisasa, unaolenga ustawi wa pamoja.
TAARIFA KUTOKA KWA MHESHIMIWA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
08 Dec, 2025
Katika kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Uhuru Kesho, Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kupitia Waziri Mkuu leo, ametoa agizo maalum kwa wananchi wote wa Tanzania.
Jessica Mshama atoa pongezi kwa Viongozi wa Vijana Walioshiriki Katika Kikao Kazi cha UVCCM Mkoa wa Dodoma
07 Dec, 2025
DODOMA, TANZANIA — Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) imetoa shukrani na pongezi za kipekee kwa viongozi wote wa vijana waliohudhuria kikao kazi cha Umoja wa Vijana kilichofanyika jijini Dodoma tarehe 7 Desemba 2025 ambapo washiriki walijadiliana juu ya mustakabali wa vijana, amani ya nchi na maendeleo ya taifa.