Jessica Mshama atoa pongezi kwa Viongozi wa Vijana Walioshiriki Katika Kikao Kazi cha UVCCM Mkoa wa Dodoma
Habari Zinazohusiana
Ujumbe wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa Rais wa Tanzania
14 Dec, 2025
Dar es Salaam | 14 Disemba 2025 Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Mheshimiwa Antonio Guterres, ameipongeza Tanzania kwa kuendelea kuwa kielelezo cha amani, mshikamano wa kijamii na utulivu wa kisiasa barani Afrika na duniani, licha ya changamoto zilizojitokeza wakati wa uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025.
Tanzania na Marekani Zimefikisha Hatua za Mwisho za Kufanikisha Makubaliano Makubwa ya Uwekezaji
08 Dec, 2025
Dodoma, Tanzania – Tanzania na Marekani ziko katika hatua za mwisho za kufanikisha makubaliano makubwa ya uwekezaji yanayolenga kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia, kiuchumi na kiusalama kati ya mataifa haya mawili. Hii ni hatua inayothibitisha dhamira ya pande zote mbili katika kujenga ushirikiano wa kisasa, unaolenga ustawi wa pamoja.
TAARIFA KUTOKA KWA MHESHIMIWA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
08 Dec, 2025
Katika kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Uhuru Kesho, Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kupitia Waziri Mkuu leo, ametoa agizo maalum kwa wananchi wote wa Tanzania.