KATIBU MKUU WA UVCCM, NDUGU HALID MWINYI, APOKELEWA MKOANI ARUSHA
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Ndugu Halid Mwinyi, leo tarehe 13 Februari 2026, amepokelewa katika Ofisi za UVCCM Wilaya ya Arusha Mjini, mkoani Arusha.
Soma Zaidi
UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SENET ZA MIKOA – VYUO VYA KATI NA VYUO VIKUU
Tunapenda kuwajulisha wanachama wote kuwa Uchaguzi wa kupata viongozi wa Senet za mikoa katika Vyuo vya Kati na Vyuo Vikuu utafanyika kesho, Jumamosi, Februari 14, 2026.
Soma Zaidi
DKT. MIGIRO AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA NAMIBIA, WAJADILI KUIMARISHA URAFIKI WA KIDUGU
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, leo Alhamisi, Februari 12, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Namibia nchini Tanzania, Mheshimiwa Gabriel Pandureni Sinimbo.
Soma Zaidi
KATIBU MKUU WA UVCCM KUONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI YA BARAZA KUU LA UVCCM, ZANZIBAR
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ndugu Halid Mwinyi (MNEC), anatarajiwa kuongoza kikao cha Sekretarieti ya Baraza Kuu la UVCCM kitakachofanyika Jumanne, tarehe 10 Februari 2026, katika Chuo cha Umoja wa Vijana Tunguu, Zanzibar.
Soma Zaidi
RAIS DKT. SAMIA AAGIZA UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU, UJENZI WA KITUO CHA WATOTO NA ELIMU YA ZIMAMOTO SOKO JIPYA LA KARIAKOO
Dar es Salaam 08 Februari 2026 Katika kulinda uwekezaji wa umma na kuhakikisha thamani ya fedha za wananchi inalindwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kutunza na kusimamia miundombinu ya Soko
Soma Zaidi
RAIS DKT. SAMIA AZINDUA SOKO JIPYA LA KARIAKOO: AFUNGUA UKURASA MPYA WA TUMAINI LA KIUCHUMI, AAGIZA HAKI, UWAZI NA USALAMA KWA WAFANYABIASHARA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amezindua rasmi Jengo Jipya la Soko la Kariakoo
Soma Zaidi