MRADI WA ZIWA TANGANYIKA KUTATUA KERO YA MAJI RUKWA
18 Oct, 2025
7 Machapisho
🗓️ Jumamosi Tarehe 18 Oktoba,2025
📍Nkasi-Rukwa
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa Serikali imeweka mpango kabambe wa kutatua changamoto ya maji mkoani Rukwa kupitia Mradi Mkubwa wa Maji kutoka Ziwa Tanganyika, mradi utakaonufaisha maelfu ya wananchi wa Sumbawanga, Nkasi na Kalambo.
Amesisitiza kuwa CCM itaendelea kutatua kero za Msingi kwa vitendo, Ikiwemo maji safi, afya na miundombinu ili kuhakikisha wananchi wa Rukwa Wanaishi kwa heshima na Maendeleo Endelevu.
#oktobatunatiki✅✅✅
#fyuchabilastresi
#tokanitoketukatiki ✅
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.