SERIKALI KUFANYA MAREKEBISHO MAKUBWA YA RELI YA KATI
22 Oct, 2025
6 Machapisho
Ilala -Dar es Salaam,Serikali ya Chama Cha Mapinduzi Chini ya Mgombea wake wa Urais Dkt Samia Suluhu Hassan ameeleza kuwa watafanya Marekebisho makubwa ya Reli ya Kati, Reli ya TAZARA ili ifanye kazi vizuri ili kuweza kuchochea Maendeleo mazuri ya Taifa Letu.
Dkt Samia Suluhu pia katika Mkutano huo uliofanyika leo hapo Ilala amewahimiza wananchi wajitokeze kwa wingi kuja kumpigia kura oktoba 29 ili aweze kutekeleza Marekebisho hayo na kutekeleza Mengine yaliyoandikwa kwenye Ilani ya Chama Cha Mapinduzi.
#oktobatunatiki ✅✅✅
#fyuchabilastressi
#tokanitoketukatiki ✅
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.