TABASAMU LA MAENDELEO, SAFARI YA KUTIKI OKTOBA 29
23 Oct, 2025
6 Machapisho
Ni yeye akiwa amevalia miwani yake ya njano na tabasamu la matumaini, kijana huyu anaonesha ari na uzalendo kuelekea uchaguzi wa Oktoba 29. Bila kusahau Kichinjio chake, ameshikilia mfano wa karatasi ya kura, ishara ya dhamira yake ya kuchagua maendeleo na umoja.
Kwa ujasiri na imani, anasisitiza ujumbe wa mama wa maendeleo, Samia Suluhu Hassan, kwamba Tanzania inaendelea kusonga mbele kwa amani, utulivu na kazi.
Oktoba 29 tunatiki maendeleo
Tunatiki Samia!
#OktobaTunatiki✅✅✅
#TokaNitokeTukatiki✅
#FyuchaBilaStresi
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.