UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Habari & Matukio

Habari za CCM, Habari za Vijana, Habari za Maendeleo n.k

Balozi Dkt. Nchimbi Ahamasisha Wakazi wa Isaka Kuhakikisha Ushindi wa CCM Oktoba 29
04 Sep, 2025
00:00

Balozi Dkt. Nchimbi Ahamasisha Wakazi wa Isaka Kuhakikisha Ushindi wa CCM Oktoba 29

Shinyanga, Septemba 3, 2025 – Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, leo Alhamisi amewahutubia maelfu ya wakazi wa mji mdogo wa Isaka, wilayani Kahama, Jimbo la Msalala, katika mkutano wa hadhara uliopambwa na hamasa kubwa za kisiasa.

Soma Zaidi
MBALIZI HAINA JAMBO DOGO, YAFUNIKA MAPOKEZI YA DKT. SAMIA
04 Sep, 2025
00:00

MBALIZI HAINA JAMBO DOGO, YAFUNIKA MAPOKEZI YA DKT. SAMIA

Mbeya, Septemba 4, 2025 – Mapokezi ya kishindo yamemsubiri Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, baada ya maelfu ya wakazi wa Mbalizi kujitokeza kwa wingi kumpokea na kushiriki naye katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo.

Soma Zaidi
KAWAIDA ATEMBELEA NA KUKAGUA VIWANJA VYA TANGANYIKA PACKERS
27 Aug, 2025
00:00

KAWAIDA ATEMBELEA NA KUKAGUA VIWANJA VYA TANGANYIKA PACKERS

Mwenyekiti wa UVCCM Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa, Ndg. Mohammed Ali Kawaida, leo tarehe 27 Agosti 2025, ametembelea na kukagua maendeleo ya maandalizi ya Viwanja vya Tanganyika Packers jijini Dar es Salaam. Viwanja hivyo vinajiandaa kwa ajili ya tukio kubwa la Uzinduzi wa Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) litakalofanyika kesho tarehe 28 Agosti 2025.

Soma Zaidi
UVCCM yazindua “Kijani Ilani ChatBot
26 Aug, 2025
00:00

UVCCM yazindua “Kijani Ilani ChatBot

Dar es Salaam – Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Mohammed Kawaida, ameongoza hafla ya uzinduzi wa Kijani Ilani Chat Bot, programu mpya ya kidijitali inayolenga kuongeza hamasa za kisiasa miongoni mwa vijana kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025.

Soma Zaidi
MWINYI: NITAENDELEZA MAZURI YALIOANZISHWA NA KUSIMAMIA KANUNI YA UVCCMUVCCM
25 Aug, 2025
00:00

MWINYI: NITAENDELEZA MAZURI YALIOANZISHWA NA KUSIMAMIA KANUNI YA UVCCMUVCCM

Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ndg. Halid Mwinyi, ameahidi kuendeleza mazuri yote yaliyoanzishwa na kuhakikisha kanuni za UVCCM zinasimamiwa ipasavyo katika kipindi cha uongozi wake.

Soma Zaidi
KAWAIDA: WATANZANIA TUTUMIE KIJANI ILANI CHATBOT KUTOKOMEZA UPOTOSHAJI
25 Aug, 2025
00:00

KAWAIDA: WATANZANIA TUTUMIE KIJANI ILANI CHATBOT KUTOKOMEZA UPOTOSHAJI

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa, Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC), amewataka Watanzania kutumia programu bunifu ya Kijani Ilani Chatbot kama nyenzo ya kupata taarifa sahihi kuhusu Ilani ya CCM na utekelezaji wake, ili kuongeza uelewa na kukabiliana na upotoshaji unaoenezwa na watu wasiolitakia mema Taifa.

Soma Zaidi