Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Happy Birthday Rais Dkt.Samia

Heri ya Siku ya Kuzaliwa Rais Dkt.Samia

Happy birthday Rais Dkt.Samia

CCM HII TUMEIPENDA WENYEWE

Matembezi ya miaka 62 ya Mapinduzi ya zanzibar

Kazi na Utu, Tunasonga mbele

AMANI NI FURSA

Amani ndio msingi wa maendeleo yetu

AMANI NI FURSA

KIJANI ILANI CHATBOT

Uzinduzi wa Kijani IlaniChatbot

Bofya hapa Ilani Chatbot

Uongozi na Uwajibikaji

Kazi na Utu, Tunasonga Mbele

uongozi na Uwajibikaji

Kijana na Kijani

Tunazima zote tunawasha Kijani

Tunasonga mbele pamoja

Chaguo letu

Tukimuona Dkt Samia, Tumeiona leo na kesho iliyo salama

Kazi na Utu, Tunasonga Mbele

Wataweza Kweli.....?

CCM chama imara

Kazi na Utu, Tunasonga Mbele

Uzalendo na Uongozi

Tunasonga mbele pamoja

Oktoba tunatiki

Habari na Matukio

Pata taarifa za mambo yanayotokea UVCCM

Ona Habari Zote
UVCCM WILAYA YA KAKONKO WAFANYA MAADHIMISHO YA MIAKA 49 YA KUZALIWA KWA CCM
01 Feb, 2026 15

UVCCM WILAYA YA KAKONKO WAFANYA MAADHIMISHO YA MIAKA 49 YA KUZALIWA KWA CCM

Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Kakonko umefanya maadhimisho ya kipekee kuelekea miaka 49 ya kuzaliwa kwa CCM, yatakayofanyika rasmi tarehe 5 Februari 2026. Maadhimisho haya yamejumuisha shughuli mbalimbali za kijamii zenye lengo la kuunga mkono maendeleo ya wananchi na taifa kwa ujumla.

Soma Zaidi
Arusha: Mwenyekiti UVCCM Mkoa Simon Maximilian aongoza Maadhimisho ya Miaka 49 ya CCM
31 Jan, 2026 7

Arusha: Mwenyekiti UVCCM Mkoa Simon Maximilian aongoza Maadhimisho ya Miaka 49 ya CCM

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Arusha, Simon Maximilian, awaongoza vijana wa umoja huo katika maadhimisho ya kuelekea miaka 49 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakionesha uzalendo kwa kushiriki shughuli mbalimbali za kijamii na za chama.

Soma Zaidi
UVCCM Mufindi yaadhimisha Miaka 49 ya CCM kwa Baraza maalum, yasifu Mchango wa Vijana katika kutafuta ushindi kwa CCM
31 Jan, 2026 9

UVCCM Mufindi yaadhimisha Miaka 49 ya CCM kwa Baraza maalum, yasifu Mchango wa Vijana katika kutafuta ushindi kwa CCM

Katika kuelekea maadhimisho ya miaka 49 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Wilaya ya Mufindi umeanza maadhimisho hayo kwa kufanya baraza maalum lenye lengo la kuwapongeza na kuwashukuru vijana wa chama kwa mchango wao mkubwa katika kazi ya kutafuta kura wakati wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba mwaka jana.

Soma Zaidi

"KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE"

Dkt. Samia Suluhu Hassan

Dkt. Samia Suluhu Hassan

Mwenyekiti wa Chama cha CCM

Dkt. Hussein Ali Mwinyi

Dkt. Hussein Ali Mwinyi

M/Mwenyekiti wa Zanzibar

Ndugu Stephen Masato Wasira

Ndugu Stephen Masato Wasira

M/Mwenyekiti wa Bara

Dkt. Asha Rose Migiro

Dkt. Asha Rose Migiro

Katibu Mkuu wa Chama cha CCM

Viongozi Wakuu wa UVCCM

Viongozi wetu wanaongoza kwa uadilifu na ujuzi kwa lengo la kuleta mabadiliko chanya kwa vijana wa Tanzania.

Mohammed Ali Kawaida(MCC)

Mohammed Ali Kawaida(MCC)

Mwenyekiti UVCCM Taifa

Rehema Sombi(MNEC)

Rehema Sombi(MNEC)

M/Mwenyekiti UVCCM

Halidi Mwinyi (MNEC)

Halidi Mwinyi (MNEC)

Katibu Mkuu UVCCM

Mussa Mwakitinya (MNEC)

Mussa Mwakitinya (MNEC)

Naibu Katibu Mkuu UVCCM bara

Abdi Mahamoud

Abdi Mahamoud

Naibu Katibu Mkuu UVCCM Zanzibar

Shuhuda za Vijana

Sikiliza kwa vijana wenzako waliofanikiwa kupitia mipango na mafunzo ya UVCCM

Mafunzo ya ujasiriamali niliyoyapata UVCCM yamenifungulia dunia na sasa naajiri vijana wenzangu 12 katika kampuni yangu ya utengenezaji wa viatu. Asanteni kwa msaada na mwelekeo mzuri.

Asha Mwinyi
Asha Mwinyi

Mjasiriamali, Zanzibar

Kupitia mafunzo ya UVCCM nimeweza kuanzisha biashara ya kilimo cha kisasa na sasa nina mazao bora ya mbogamboga ninayouza kwa wanakijiji wangu na hata kwenye soko la mjini.

Juma Hassan
Juma Hassan

Mkulima, Arusha