SERIKALI YA CCM IMEPANDISHA MAPATO YA WAVUVI MARA.
09 Oct, 2025
10 Machapisho
🗓 09 Oktoba 2025
📍 Bunda- Mara
Mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt Samia Suluhu Hassan baada ya kuwasili Mkoani Mara kwa ajili ya ziara yake ya Kampen.
Machana huu amezungumza na maelfu ya wananchi wa jimbo la Bunda na kuwaeleza kuwa kufuatia Serikali kufanya maboresho katika sekta ya Uvuvi Mkoani humo imepelekea kuinua Pato la wavuvi na uchumi wa wakazi wa Bunda na Mara kwa Ujumla
#OktobaTunatiki✅✅
#FyuchaBilaStresi
#KaziNaUtuTunasongaMbele
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.