SERIKALI YA CCM KUTOA HUDUMA YA PEMBEJEO NA BEI ZA PAMBA BURE.
09 Oct, 2025
10 Machapisho
🗓️ Jumatano tar,08/10/2025
📍Mwanza-Tanzamia
Leo akiwa Jijini Mwanza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Samia Suluhu Hassan Ametangaza kwa msisitizo kuwa Serikali ya CCM Itaendelea kutoa huduma ya pembejeo na mbegu za pamba bure kwa wakulima Ikiwa ni sehemu ya mpango wa kuinua sekta ya kilimo na kuongeza kipato cha wananchi.
Ameeleza kuwa hatua hiyo inalenga kuimarisha uchumi wa vijijini, kuongeza thamani ya mazao ya wakulima na kuhakikisha kila Mtanzania ananufaika na juhudi za serikali katika kujenga Taifa lenye ustawi, usawa na Maendeleo Endelevu.
#OktobaTunatiki
#FyuchaBilaStresi
#TokaTutokeTukatiki
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.