KARIBU SANA MAMA, MAKAMBAKO TUPO PAMOJA NAWE
06 Sep, 2025
23 Machapisho
Mapema asubuhi ya leo, maelfu ya wananchi wa Makambako wamejitokeza kwa wingi wakiwa na furaha, hamasa na shangwe kubwa kumsubiri Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
" Wananchi hawa wamesema wako tayari kumsikiliza Mama akijinadi kwa sera bora za CCM na kueleza ahadi za maendeleo endelevu kwa Watanzania wote."
Makambako wamesimama imara hawana shaka na kwa pamoja wanasema “Maendeleo wameyaona, hakuna kama Mama, Oktoba watatiki kwa kishindo 🙌
Zaidi ya hapo, wakazi wa Makambako wamesema leo wanajambo leo na Mama kama ishara ya mapenzi na heshima yao kwake. 🔥 🔥
#OktobatunatikiFyuchaBilaStresi
#KazinaUtuTunasongaMbele
#TunazimaZoteTunawashaKijani
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.