Miradi ya Vijana
Chagua Aina ya Mradi:
Hakuna miradi iliyopatikana
Hakuna miradi ya vijana katika kategoria hii bado.
Unataka Kushiriki Mradi?
Tunaweza kukusaidia kuupromote mradi wako na kuwaunganisha na wadau.
Vijana Wenye Mafanikio
Nafidh Ally Mola
20
Dar es Salaam, Tanzania
Nafidh Ally Mola ni kijana mbunifu wa teknolojia na akili mnunde (AI) kutoka Tanzania mwenye umri wa miaka 20. Ametambuliwa kitaifa na kimataifa kwa ubunifu wake katika TEHAMA, ikiwa ni pamoja na kushiriki Global Misk Forum na kutunukiwa tuzo ya Best AI Innovator in Africa kupitia AUDA-NEPAD. Ni kijina mbunifu na mwenye mawazo chanya ya kutumia teknolojia katika kutatua changamoto za jamii