UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

KUTANA NA VIJANA VINARA

Pata hamasa kutoka kwa hadithi za mafanikio ya vijana wa Kitanzania

Wasifu wa Vijana

Soma safari zao za mafanikio, changamoto walizopita, na ushauri wao

Nafidh Ally Mola
Nafidh Ally Mola
Umri: 20 Dar es Salaam, Tanzania

Nafidh Ally Mola ni kijana mbunifu wa teknolojia na akili mnunde (AI) kutoka Tanzania mwenye umri wa miaka 20. Ametambuliwa kitaifa na kimataifa kwa ubunifu wake katika TEHAMA, ikiwa ni pamoja na kushiriki Global Misk Forum na kutunukiwa tuzo ya Best AI Innovator in Africa kupitia AUDA-NEPAD. Ni kijina mbunifu na mwenye mawazo chanya ya kutumia teknolojia katika kutatua changamoto za jamii

Unataka Kutajwa hapa?

Umejifunza na kupata mafanikio fulani? Wasiliana nasi na tueleze safari yako

Wasiliana Nasi Angalia Miradi