Wasifu wa Vijana
Soma safari zao za mafanikio, changamoto walizopita, na ushauri wao
Nafidh Ally Mola
Umri: 20
Dar es Salaam, Tanzania
Nafidh Ally Mola ni kijana mbunifu wa teknolojia na akili mnunde (AI) kutoka Tanzania mwenye umri wa miaka 20. Ametambuliwa kitaifa na kimataifa kwa ubunifu wake katika TEHAMA, ikiwa ni pamoja na kushiriki Global Misk Forum na kutunukiwa tuzo ya Best AI Innovator in Africa kupitia AUDA-NEPAD. Ni kijina mbunifu na mwenye mawazo chanya ya kutumia teknolojia katika kutatua changamoto za jamii
Unataka Kutajwa hapa?
Umejifunza na kupata mafanikio fulani? Wasiliana nasi na tueleze safari yako