Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasili wilayani Songea, Mkoa wa Ruvuma, ili kuendelea na kampeni za CCM za kunadi sera za CCM
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi• (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasili wilayani Songea, Mkoa wa Ruvuma, ili kuendelea na kampeni za CCM za kunadi sera za chama hicho.
Soma Zaidi
IJUE ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI - ZANZIBAR
Chama Cha Mapinduzi kimejipanga kutekeleza ilani kwa upande wa Sekta ya kilimo na sekta ya Miundombinu ya Barabara.
Soma Zaidi
BI' MKUBWA KAFIKA
Mgombea wa Urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili Makunduchi, Zanzibar, akiendelea na ziara yake ya kampeni kuelekea uchaguzi mkuu.
Soma Zaidi
SERIKALI ITAJENGA MATENKI MAKUBWA 3 YA KUHIFADHI MAFUTA ZANZIBAR
Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya CCM ambae pia ni rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, Leo amezindua kampeni Gombani-Zanzibar.
Soma Zaidi
CHAKA 2 CHAKA KUINADI ILANI
Mgombea wa Urais kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi dkt. Samia Suluhu na Mgombea mwenza Balozi Emmanuel Nchimbi wanaendelea kuchanja mbuga kuelekea Oktoba hivyo bado siku 44 CCM itengeneze Historia.
Soma Zaidi
VIJANA TABORA WAPATA FURSA ZA AJIRA MPYA KUPITIA ILANI YA CCM 2025–2030
Kazi kwa Vijana, Maendeleo kwa Taifa Kupitia Ilani ya CCM 2025 – 2030, Serikali imejipanga kuhakikisha vijana wanapata nafasi za ajira zenye tija Katika miaka mitano ijayo, mamilioni ya vijana watanufaika na fursa hizi ambapo Mkoa wa Tabora nao upo mstari wa mbele kupata ajira mpya kwenye ualimu na afya.
Soma Zaidi