UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Habari & Matukio

Habari za CCM, Habari za Vijana, Habari za Maendeleo n.k

Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasili wilayani Songea, Mkoa wa Ruvuma, ili kuendelea na kampeni za CCM za kunadi sera za CCM
19 Sep, 2025
00:00

Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasili wilayani Songea, Mkoa wa Ruvuma, ili kuendelea na kampeni za CCM za kunadi sera za CCM

Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi• (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasili wilayani Songea, Mkoa wa Ruvuma, ili kuendelea na kampeni za CCM za kunadi sera za chama hicho.

Soma Zaidi
IJUE ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI -  ZANZIBAR
17 Sep, 2025
00:00

IJUE ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI - ZANZIBAR

Chama Cha Mapinduzi kimejipanga kutekeleza ilani kwa upande wa Sekta ya kilimo na sekta ya Miundombinu ya Barabara.

Soma Zaidi
BI' MKUBWA KAFIKA
17 Sep, 2025
00:00

BI' MKUBWA KAFIKA

Mgombea wa Urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili Makunduchi, Zanzibar, akiendelea na ziara yake ya kampeni kuelekea uchaguzi mkuu.

Soma Zaidi
SERIKALI ITAJENGA MATENKI MAKUBWA 3 YA KUHIFADHI MAFUTA ZANZIBAR
16 Sep, 2025
00:00

SERIKALI ITAJENGA MATENKI MAKUBWA 3 YA KUHIFADHI MAFUTA ZANZIBAR

Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya CCM ambae pia ni rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, Leo amezindua kampeni Gombani-Zanzibar.

Soma Zaidi
CHAKA 2 CHAKA KUINADI ILANI
16 Sep, 2025
00:00

CHAKA 2 CHAKA KUINADI ILANI

Mgombea wa Urais kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi dkt. Samia Suluhu na Mgombea mwenza Balozi Emmanuel Nchimbi wanaendelea kuchanja mbuga kuelekea Oktoba hivyo bado siku 44 CCM itengeneze Historia.

Soma Zaidi
VIJANA TABORA WAPATA FURSA ZA AJIRA MPYA KUPITIA ILANI YA CCM 2025–2030
11 Sep, 2025
00:00

VIJANA TABORA WAPATA FURSA ZA AJIRA MPYA KUPITIA ILANI YA CCM 2025–2030

Kazi kwa Vijana, Maendeleo kwa Taifa Kupitia Ilani ya CCM 2025 – 2030, Serikali imejipanga kuhakikisha vijana wanapata nafasi za ajira zenye tija Katika miaka mitano ijayo, mamilioni ya vijana watanufaika na fursa hizi ambapo Mkoa wa Tabora nao upo mstari wa mbele kupata ajira mpya kwenye ualimu na afya.

Soma Zaidi