Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)
HODI MANYARA | UVCCM
HODI MANYARA | UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)
Habari Nyingine

HODI MANYARA

22 Sep, 2025 00:00 Admin User 122 views 0 comments
HODI MANYARA
Katibu Mkuu wa Jumuiya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Ndugu Halid Mwinyi (MNEC) anatarajia kufanya ziara ya kikazi katika Mkoa wa Manyara kuanzia tarehe 22 Septemba, 2025 ambapo atatembelea maeneo mbalimbali ili kutafuta kura za kishindo za Dkt. Samia Suluhu Hassan, Wabunge na Madiwani wa CCM kupitia Operation ya Door to Door.

Vijana tunasema,
Oktoba ni mwendo wa kutiki ✅ kwa sababu CCM imetuhakikishia fyucha bila stresi.

#OktobaTunatiki✅✅✅
#FyuchaBilaStresi
Admin User

Mwandishi wa UVCCM - Anatoa taarifa za kusisimua kuhusu shughuli za vijana na maendeleo ya taifa.