Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)
MBINGA TUMEKUBALIANA CHAGUO LETU DKT. SAMIA | UVCCM
MBINGA TUMEKUBALIANA CHAGUO LETU DKT. SAMIA | UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)
Habari Nyingine

MBINGA TUMEKUBALIANA CHAGUO LETU DKT. SAMIA

21 Sep, 2025 00:00 Admin User 54 views 0 comments
Wananchi wa Mbinga wanafuraha na utayari leo tarehe 21 Septemba 2025 wakipata ugeni wa Mgombea wa Urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan  akifanya mkutano mdogo kwa kuisemea Ilani ya CCM 2025-2030 na kuomba kura licha ya Wananchi hao kueleza kuwa Chaguo lao ni Dkt. Samia na wagombea wa CCM.

#oktobatunatiki
#kazinaututunasongambele
#tunazimazotetunawashakijani
#fyuchabilastresi
Admin User

Mwandishi wa UVCCM - Anatoa taarifa za kusisimua kuhusu shughuli za vijana na maendeleo ya taifa.